Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalish wajuaje kama nyie mmejaaWe ni pimbi kabisa, how come una-quote link refu Hivi?
Bila shaka Leo unaadhimisha siku yako uliyopata sifuri kwny matokeo yako!
Kwa ubovu wa matokeo haya anachaguliwa bila wasiwasi, Kumbuka 70% wamefeli, kupata div.3 ni km kupata div.1 mwaka huu, shule zitabaki tupuMsaada:Ikiwa mtu kapata Division III ya 23 alikuwa anasoma Science ( Mvulana) amebalansisha CBG ie Chemistry, Biology and Geography. Je anaweza kuchaguliwa Kwenda shule ya Serikali?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kataga [emoji23] [emoji23]Hahahha [emoji2] [emoji2] [emoji2] wewe jamaa hujui kutia moyo naona umeamua kufunguka mazima dogo kataga[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Lete namba ya shuleMkuu naomba matokeo ya Northern Highland -Moshi
[emoji144][emoji144][emoji144]Kwa ubovu wa matokeo haya anachaguliwa bila wasiwasi, Kumbuka 70% wamefeli, kupata div.3 ni km kupata div.1 mwaka huu, shule zitabaki tupu
Madogo wametaga kwelikweli....Naona madogo kibao wame rotate
No mkuuMkuu naomba matokeo ya Northern Highland -Moshi
Hongera sanaMUNGU MWEMA MWENYE REHEMA ASANTE KWA MWANANGU KUPATA DIV 2.
Mkuu nisaidie matokeo ya Gitting S.1039S0508/0014
F
26
IV
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' LIT ENG - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F' COMM - 'D' B/KEEPING - 'D'
No ukimaanisha nini mkuuNo mkuu
Sheria ni kuwa lazima kwenye combination awe na maximum ya point 9 yaani C tatu.(A ni moja ,B ni 2 na C ni Tatu) waraka huo umetoka mwaka jana.So angalia kama ana point si zaidi ya tisa anaruhusiwa kufanya mtihani wa form six.Kama hajafikisha anaruhusiwa kuendelea ila anarudi mtihani wa form four mpaka apate hizo point za kufanya mtihani.Msaada:Ikiwa mtu kapata Division III ya 23 alikuwa anasoma Science ( Mvulana) amebalansisha CBG ie Chemistry, Biology and Geography. Je anaweza kuchaguliwa Kwenda shule ya Serikali?
Mkuu naomba msaada Northern Highland-MoshiS2141/0025
F
22
III
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'D'
S3237/0031
F
26
IV
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
Number ya shule mkuuNo ukimaanisha nini mkuu
Mkuu nadhukuru.....Ila kwenye maelezo yangu nimeandika amebalansisha CBG nikiwa na maana amepata CCC. Div Ni III ya 23.Sheria ni kuwa lazima kwenye combination awe na maximum ya point 9 yaani C tatu.(A ni moja ,B ni 2 na C ni Tatu) waraka huo umetoka mwaka jana.So angalia kama ana point si zaidi ya tisa anaruhusiwa kufanya mtihani wa form six.Kama hajafikisha anaruhusiwa kuendelea ila anarudi mtihani wa form four mpaka apate hizo point za kufanya mtihani.
Mkuu nisaidie matokeo ya Gitting S.1039
Mkuuu S1284/0052Number ya shule mkuu