NECTA yatikiswa; yacharuka

NECTA yatikiswa; yacharuka

Mkuu usihofu NECTA ya sasa imeweka kila kitu wazi sio kama zamani, unaweza kupata fomu ya ku-appeal kwenye tovuti ya NECTA (The National Examinations Council of Tanzania) pakua jaza kwa usahihi, lipia na kisha itume NECTA kwa huduma. Maelekezo yote ya malipo yapo kwenye fomu hiyo.
Hii ni NECTA ya uwazi na Ukweli ya kwanza kutokea Tanzania.

Usifikiri kila Mtanzania ana access na hiyo mitandao mkuu, wengine tumetumia vibatari kujisomea na mpaka sasa bado vinatumika, hizo fomu za kupakua kwenye website ya NECTA ataweza kweli kuzipata achilia mbali kulipia hiyo gharama? Transcript yenyewe kuipata ni kwa mbinde sembuse kufuatilia rufaa ya matokeo ya mtihani.

Tuwe wakweli, kwa wengine mazingira bado ni magmu mno kupata haki inayotakiwa.
 
100% nilikuwa baraza leo mchana na nikapewa taarifa hizi na baadhi ya jamaa zangu hapo baraza. So naamini ni za kweli, vinginevyo hawa rafiki zangu wawe wameamua kunidanganya.

Yawezekana ni upepo tu unapita we subiri utaona
 
Usifikiri kila Mtanzania ana access na hiyo mitandao mkuu, wengine tumetumia vibatari kujisomea na mpaka sasa bado vinatumika, hizo fomu za kupakua kwenye website ya NECTA ataweza kweli kuzipata achilia mbali kulipia hiyo gharama? Transcript yenyewe kuipata ni kwa mbinde sembuse kufuatilia rufaa ya matokeo ya mtihani.

Tuwe wakweli, kwa wengine mazingira bado ni magmu mno kupata haki inayotakiwa.
Usitake kudanganya watu, Tanzania ya leo si ya jana:
  1. Watahiniwa wote wa kujitegemea nchi nzima wanajisajili kwa njia ya mtandao tena kwa mafanikio makubwa, unaelewa hilo au kwa kuwa wewe hujui basi kila mtu ni kama wewe.
  2. Juzi kati wakati Waziri anatangaza matokeo mimi nilikuwa Liwale ndani vijijini kuna internet cafe watu wakapakua chapchap. Unalijua hilo au kwa kuwa wewe utafiti wako umeufanya nyumbani kwako basi unajua wote wako hivyo.
  3. Unajua kwamba hata watuwa vijijini wana mwamko wa maendeleo siku hizi ndiyo maana hata soka la Ulaya wanalifaidi kwa njia ya DSTV, DUBAI kama kawa. Unalijua hilo?
Ukiwa na nia ya kutafuta maendeleo hutakaa nyumbani ili yakufuate ni lazima utayatafuta mpaka utayapata.
 
Uongo wa kwanza huu hapa:

"Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.

Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa".

Matokeo yanayoonekana mtandaoni ni:
[TABLE="class: cms_table, width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S1197/0173
[/TD]
[TD="width: 4%"]M
[/TD]
[TD="width: 6%"]34
[/TD]
[TD="width: 4%"]FLD
[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Napata sababu za kutilia mashaka tuhuma za Mwl. Bujugo.

Unamhita Bujugo Malimu?
Je aliwahi kusoma wapi? Au anaelimu gani? Utashangaa!!
 
Mimi nilijua tu huyo Bujugo mwongo! Baraza haliwezi kufanya kosa kubwa kiasi hicho.

Kama mkuu wa shule akili zake ni za hivi, wanafunzi wake watakuwaje? Tusi...kali, ptuuu

Mtu huyo hajawahi kusoma -hivyo ulitegemea nini?
 
itabidi na Clouds nao waongezwe kwenye mashtaka kwani nao walishadadia sana hii ishu
 
Mimi nilijua tu huyo Bujugo mwongo! Baraza haliwezi kufanya kosa kubwa kiasi hicho.

Kama mkuu wa shule akili zake ni za hivi, wanafunzi wake watakuwaje? Tusi...kali, ptuuu

Hapo lazima zero zitawale
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Chanda chema huvikwa pete.

Kama aliyesema ni mwenye shule,iweje necta waweweseke.

ushauri .necta wajitathimini .


Mkuu,

Huyu jamaa ni msaani kweli kweli!!!!. kaupotosha umma kuwa matokeo ya Green Acres yamechakachuliwa. Ona ufafanuzi uliotolewa na NECTA kuonesha kuwa kumbe Bujigo hajui hata namba wa wanafunzi wake au alifanya hivyo kwa makusudi kwa lengo la kujipatia umaarufu na kulichafua Baraza. NECTA wamemwaga mboga hadharani... haya wadau ona ukweli wa mambo....
 

Attachments

Mkuu,

Huyu jamaa ni msaani kweli kweli!!!!. kaupotosha umma kuwa matokeo ya Green Acres yamechakachuliwa. Ona ufafanuzi uliotolewa na NECTA kuonesha kuwa kumbe Bujigo hajui hata namba wa wanafunzi wake au alifanya hivyo kwa makusudi kwa lengo la kujipatia umaarufu na kulichafua Baraza. NECTA wamemwaga mboga hadharani... haya wadau ona ukweli wa mambo....
Bujugo kamaliza la saba, hata sekondaki hajafika.
 
Si kweli kulingana na haya matokeo kuna uwezekano wale walio pata four wangestahili wapate two nina uhakika
 
Back
Top Bottom