Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Wakati mwingine unamuuliza mtu swali jepesi litakalomtamanisha kujitokeza kulijibu,atengeneze precedence. Huku una maswali yako korofi umeyaficha.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] Na usikute wa 2 ana average kubwa kuliko 1 hapo. Malisa kauliza swali la ovyoo sana sijui labda kuna kitu alilenga ila ni swali la.kitoto kushindwa kujua One ya 15 na One ya 8 kuna utofauti wa Kiwastani hivyo Feza one zao kali so wastani utakua juu kuliko hiyo shule