Wakati mwingine unamuuliza mtu swali jepesi litakalomtamanisha kujitokeza kulijibu,atengeneze precedence. Huku una maswali yako korofi umeyaficha.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] Na usikute wa 2 ana average kubwa kuliko 1 hapo. Malisa kauliza swali la ovyoo sana sijui labda kuna kitu alilenga ila ni swali la.kitoto kushindwa kujua One ya 15 na One ya 8 kuna utofauti wa Kiwastani hivyo Feza one zao kali so wastani utakua juu kuliko hiyo shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] LIBERIAUshawahi sikia kisa cha nchi iliyokuwa na wapiga kura mil. 3 kukafanyika uchaguzi wa raisi na mshindi akashinda kwa kura mil. 4.
Mijitu inauza mitihani kwa shule private zenye hela, inahongwa kupika matokeo mpaka inajisahau kuwa kuna takwimu na huwa hazidanganyi.
Exactly nahisi allikuwa anatafuta ufukunyukuWakati mwingine unamuuliza mtu swali jepesi litakalomtamanisha kujitokeza kulijibu,atengeneze precedence. Huku una maswali yako korofi umeyaficha.
Communication skills mtu kama huyo lazima awe zero kichwani a question must be clear and undetstoodWakati mwingine unamuuliza mtu swali jepesi litakalomtamanisha kujitokeza kulijibu,atengeneze precedence. Huku una maswali yako korofi umeyaficha.
Kwa haya maelezo yako, nadhani mtoa mada alitakiwa kuweka pia matokeo ya Feza kabla ya kuhukumu.Hoja yako Ina mashiko ,ila hapo mwishoni umeharibu ...
Skia, mpangilio wa shule Bora haufanywi Kwa kuangalia idadi ya division 1....Bali wanaangalia wastani wa pointi ( average grade points ) za hizo division 1 ,2 ,3 etc
Inawezekana hao Feza wamepata division 1 za 7 ,8 na 9 nyingi , division 2 za mwanzoni kbs na division 3 ya mwanzoni, huku hao Anwarite wakipata 1 za 7,8 9 chache na 1 za 17 ,16 ,15 nyingi ...
Inawezekana kbs ( japokuwa sijaona hayo matokeo )
Sahihi...Kwa haya maelezo yako, nadhani mtoa mada alitakiwa kuweka pia matokeo ya Feza kabla kuhukumu.