Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Gharama ya ku-revamp Air Tanzania so far ni zaidi ya $1 bln.Typing error, Nilitaka kuandika uwanja mkubwa wa mpira, sio Moira. Kuhusu ununuzi wa ndege saba, gharama yake ni zaidi ya $600M, pesa ambayo iliwashinda kuipata ikawalazimu kwa aibu kubwa kufuta ujenzi wa Greenfield terminal, ni pesa nyingi kuliko inayohitajika kukamilisha Galana project, miradi bora kabisa kati ya miradi yote ambayo serikali ya Kenya iliwahi kuanzisha.
Usihorodheshe idadi ya VIWANJA vya ndege, kwasababu nikihorodhesha idadi ya viwanjwa vyenye ukubwa huo wa Isiolo, huku vinazidi kumi.
Ujenzi wa barabara huku kwetu ni kitu tusichofikiria, kuna ujenzi wa Dar - Chaplinze Super high way unaendelea kwa kasi sana, huo wa Mombasa Nairobi bado ni hadithi, wakati wowote unaweza kufutwa kama Greenfield terminal ulivyofutiliwa mbali kutokana na ukosefu wa pesa.
Alafu hizo ndege zenu hazijafika $1B, infact,hata $500m haijafika, mbali na hivyo, hapo umetaja ndege 8, those are 8 different items combined together.... hapo pia umeanguka,
Simple breakdown for u
2 dreamliners (one in order) $ 224.6 mln Γ 2
2 A220-300 (in order) $ 89.5 mln Γ 2
4 Q400 (one in order) $ 32.2 mln Γ 4
There is at least $200 mln that was set aside for recruitment n operations costs. Things like IATA re-certifications, passenger reservation system, maintenance and engineering services, HAHN Air ticketing systems ninflight entertainment aside training for pilots n the crew, ground handling services, marketingand also paying debts acquired from parting ways with SAA.