Need I have to say more? ๐Ÿšข

Need I have to say more? ๐Ÿšข

Typing error, Nilitaka kuandika uwanja mkubwa wa mpira, sio Moira. Kuhusu ununuzi wa ndege saba, gharama yake ni zaidi ya $600M, pesa ambayo iliwashinda kuipata ikawalazimu kwa aibu kubwa kufuta ujenzi wa Greenfield terminal, ni pesa nyingi kuliko inayohitajika kukamilisha Galana project, miradi bora kabisa kati ya miradi yote ambayo serikali ya Kenya iliwahi kuanzisha.

Usihorodheshe idadi ya VIWANJA vya ndege, kwasababu nikihorodhesha idadi ya viwanjwa vyenye ukubwa huo wa Isiolo, huku vinazidi kumi.

Ujenzi wa barabara huku kwetu ni kitu tusichofikiria, kuna ujenzi wa Dar - Chaplinze Super high way unaendelea kwa kasi sana, huo wa Mombasa Nairobi bado ni hadithi, wakati wowote unaweza kufutwa kama Greenfield terminal ulivyofutiliwa mbali kutokana na ukosefu wa pesa.
Gharama ya ku-revamp Air Tanzania so far ni zaidi ya $1 bln.

Alafu hizo ndege zenu hazijafika $1B, infact,hata $500m haijafika, mbali na hivyo, hapo umetaja ndege 8, those are 8 different items combined together.... hapo pia umeanguka,
Simple breakdown for u

2 dreamliners (one in order) $ 224.6 mln ร— 2

2 A220-300 (in order) $ 89.5 mln ร— 2

4 Q400 (one in order) $ 32.2 mln ร— 4

There is at least $200 mln that was set aside for recruitment n operations costs. Things like IATA re-certifications, passenger reservation system, maintenance and engineering services, HAHN Air ticketing systems ninflight entertainment aside training for pilots n the crew, ground handling services, marketingand also paying debts acquired from parting ways with SAA.
 
Hilo jina Bagamoyo huwa lina laana fulani, nafikiri itabidi walibadilishe kwanza ndio waje kufanikisha chochote huko, lilitokana na neno bwaga moyo, hapo ndipo Watanzania walikua wanachukuliwa na waarabu, akifika hapo basi hakuna kurudi tena. Jameni hawa waliteswa sana na waarabu halafu ukizingatia hao hao waarabu ndio wanamiliki uchumi wao leo.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€mengine haya.
Rukwa-wabongo walikuwa wanarukwa na akili kwa kuteswa .
Arusha-does it have anything to do with throwing stones? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kijitonyama_a small river full of meat? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Daresalaam-darislum a big dark slum?
Upanga---
E.t.c. haya majina hunipa raha sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Tatizo lako wewe unachanganya kati ya project za serikali na Private projects ambapo serikali inabaki kuwa msimamizi na kutoka guarantee pekee.

Mimi projects zote nilizokutajia, ni ile ambayo serikali ya Kenya inahusika na iliahidi kutafuta pesa na kuitekeleza, tofauti na Bagamoyo port, baada ya serikali kukaa chini iliamua kujitoa na kuachia private sector pekee, serikali ya Tanzania zaidi ya kuwahimiza hawa private investors kujenga, haina mamlaka ya kusukuma ujenzi huo ufanyike haraka kama inavyoharakisha miradi ya serikali kama;
1)Ununuzi wa ndege za kisasa
2)Ujenzi wa uwanja wa Ndege wa JKNIA
3)Ujenzi wa radar 4 kubwa
4)Ujenzi wa SGR
5)Ujenzi wa BRT phase 2&3
6)Upanuzi wa Dar port
7)Ujenzi wa Stieglers hydroelectric dam
8)Upanuzi wa VIWANJA vya ndege
9)Ujenzi wa Ubungo interchange
10)Ujenzi wa uwanja mkubwa wa Moira kuliko vyote Africa ukiacha Soccer city

Hii ndiyo miradi ya serikali, na yote inaenda kwa kasi ya ajabu. Tafadhali horodhesha miradi ya serikali ya Kenya inayotekelezwa kwa sasa.
Pia 20km Ubungo Kibaha highway (6 lanes)
 
Typing error, Nilitaka kuandika uwanja mkubwa wa mpira, sio Moira. Kuhusu ununuzi wa ndege saba, gharama yake ni zaidi ya $600M, pesa ambayo iliwashinda kuipata ikawalazimu kwa aibu kubwa kufuta ujenzi wa Greenfield terminal, ni pesa nyingi kuliko inayohitajika kukamilisha Galana project, miradi bora kabisa kati ya miradi yote ambayo serikali ya Kenya iliwahi kuanzisha.

Usihorodheshe idadi ya VIWANJA vya ndege, kwasababu nikihorodhesha idadi ya viwanjwa vyenye ukubwa huo wa Isiolo, huku vinazidi kumi.

Ujenzi wa barabara huku kwetu ni kitu tusichofikiria, kuna ujenzi wa Dar - Chaplinze Super high way unaendelea kwa kasi sana, huo wa Mombasa Nairobi bado ni hadithi, wakati wowote unaweza kufutwa kama Greenfield terminal ulivyofutiliwa mbali kutokana na ukosefu wa pesa.

Kama ni uwanja wa National Stadium basi una mchezo maanake uwanja huo umetoshana na wa Kasarani, tofauti wenu ni mpya.

Kenya Airways imenunua Dreamliner nane in the last 6 years, ninyi Dreamliner moja pekee hakukaliki huku. Kila siku Dreamliner. Sasa ukisema hiyo ni project na sisi tusemeje?

Usijisumbue na project ambazo zilipangwa na hazikukamilika Kenya maana hata huko Bongo kunazo nyingi mlizopigia kelele na hata kuanza hazijaanza ikiwemo Bagamoyo Port ambayo kila siku munachocha jinsi itakuwa the biggest in Africa. Ziangalie zile zilizokamilika na nimekuorodheshea ni nyingi kushinda zenu.

Wanja gani zingine mmejenga other than that JNIA terminal? Nimeorodhesha Wanja zilizojengwa from nothing to something modern. Huko kwenu uwanja wa tatu mkubwa wa Mwanza unakaa Zizi la ng'ombe Sasa hayo ni mambo ya kuongea mbele ya watu?

Aisee barabara nilizoorodhesha sio barabara za kawaida maana za kawaida nikiorodhesha utatoroka humu. Hizo ni barabara za kiana pana na zina overpasses na interchanges kadhaa. Hivi nikuuliza unionyeshe barabara inayofanana na Lang'ata Road, Ngong Road, Outering, Thika Road, Southern bypass et al utanionyesha Bongo nzima? Ndio maana sikubisha ulipoorodhesha BRT maanake naelewa BRT sio barabara ya kikawaidakawaida.
 

Ebu tuonyeshe picha kama hii.......
images (16).jpg
 
Please, show me the infrastructure you constructed, not tankers. Those Tankers do not belong to the Tanzanian government.
I gave u motion pictures otherwise u r stupid enough to argue on kind of image!

 
Typing error, Nilitaka kuandika uwanja mkubwa wa mpira, sio Moira. Kuhusu ununuzi wa ndege saba, gharama yake ni zaidi ya $600M, pesa ambayo iliwashinda kuipata ikawalazimu kwa aibu kubwa kufuta ujenzi wa Greenfield terminal, ni pesa nyingi kuliko inayohitajika kukamilisha Galana project, miradi bora kabisa kati ya miradi yote ambayo serikali ya Kenya iliwahi kuanzisha.

Usihorodheshe idadi ya VIWANJA vya ndege, kwasababu nikihorodhesha idadi ya viwanjwa vyenye ukubwa huo wa Isiolo, huku vinazidi kumi.

Ujenzi wa barabara huku kwetu ni kitu tusichofikiria, kuna ujenzi wa Dar - Chaplinze Super high way unaendelea kwa kasi sana, huo wa Mombasa Nairobi bado ni hadithi, wakati wowote unaweza kufutwa kama Greenfield terminal ulivyofutiliwa mbali kutokana na ukosefu wa pesa.
Hio ya Mombasa Nairobi ni useless kwa sababu tayari tunayo hio barabara. Pia ni private investment kwa hivyo wazungu ndio watakaojipanga.
 
Sisi tuna 10- lanes 50 km Thika superhighway, the best road in East Africa opened in 2013 by mzee Kibaki. Nyinyi endeleeni kufurahia 6--lane 20 km roads.
Hata Jogoo Road ni 6 lane, Enterprise Road (before expansion), Lusaka Road, Kenyatta Avenue, Waiyaki Way, Mombasa Road (before expansion) etc - Yaani 6 lane ni nyingi hata siwezi hesabu. Hata Kakamega sahii iko na 6 lane.
 
Galana irrigation project swallowed Billion of Shillings, it remains white elephant. Greenfield terminal its cornerstone was laid by Uhuru Kenya, I remember that day the whole Kenya was vibrating, I don't know what happened.

Laptop per child, God knows. Crude oil pipeline to Mombasa from Turkana, we are waiting for Jesus to attend its inauguration ceremony. 5 big stadia are waiting for virgin Maria to get another child. Nairobi light train is about to start working after its construction to reach 98%.[/QUOTE

Bana, haya yote ulioyataja hayana umuhimu sana kwao kama kuandaa national holiday ya KQ kwenda Marekani. ๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚
 
Hata Jogoo Road ni 6 lane, Enterprise Road (before expansion), Lusaka Road, Kenyatta Avenue, Waiyaki Way, Mombasa Road (before expansion) etc - Yaani 6 lane ni nyingi hata siwezi hesabu. Hata Kakamega sahii iko na 6 lane.

So tuache kujenga sababu nyinyi mliishajenga???

Wacha tuwaonyeshe by 2020 how modern cities needed to be.saa hii ndio mnajua mlitangulia na ice bicycle.10 lanes na foreni iko vile vile unaweza ona ni jinsi gani ujenzi haukuzingatia mipango bali mizuka na show off.
 
Back
Top Bottom