NEEMA KUU: Bwawa la Nyerere kuzalisha umeme wenye thamani sawa na 50% ya makusanyo ya TRA nchi nzima, (Trillion 12 kwa mwaka)

Haya ni maono ya waasisi wetu,ambao ndiyo CCM wenyewe,Taifa hili bila CCM tutakwama kwasababu vingine havina mwelekeo wenye maslahi kwa Watanzania
 
kama hutaki kuulizwa maswali basi ni afadhari sana kama ungekaa na mada yako bila kushirikisha jamii
 
Tunataka umeme sio porojo. Tumekua tunalishwa maneno utafikiri tutashiba.
 
Tunataka umeme sio porojo. Tumekua tunalishwa maneno utafikiri tutashiba.
Unamwambia nani sasa, mimi ndio Tanesco? Mimi nimeleta hoja yangu kama mwananchi mfuatiliaji, jadili hoja yangu..
 
 

Bwawa la Nyerere litapandisha sana GDP kwa karibu asilimia 25. Tujiandae kupewa mikopo kwa lazima yenye riba hadi asilimia 50 kwa mwaka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…