Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
AmekataaZAMA HIZI MABINTI WANAPENDA KUITWA WAJANE
"Siolewi na Mzee Mrema, hizi habari zinazozushwa na picha yangu kusambaza mtandao kuwa naolewa naye ni uongo na uzushi. Picha inayosambaa ni yangu niliipost kwenye page yangu watu wakaichukua na kuiunganisha na ya Mzee Mrema na kuisambaza mtandaoni"
"Simjui Mzee Mrema na sijawahi kukutana naye. Nilikuwa nimelala asubuhi naamka nakuta missed call nyingi. Kwenye wathsaap nikatumiwa Screen shot kuwa naolewa na Mrema" Neema Swai, Mwanafunzi wa CBE anayedaiwa kuolewa na Mwenyekiti wa TLP, Lyatonga Mrema.
Source: Clouds TV
Wewe unawaza katiba mpya tu, itakuwa hata wakati wa mambo yetu huwa unalia KATIBAAA MPYAAAAAA.....Kama hii ni habari kubwa, kuna katiba mpya kweli hapa hata 2040?
Haelewi huyoAmekataa
Lazima iwaze kwani "hawa jamaa hapa chini" wanataka kuutoa MPUNGA kwa wapiga nzumariWewe unawaza katiba mpya tu, itakuwa hata wakati wa mambo yetu huwa unalia KATIBAAA MPYAAAAAA.....
"Siolewi na Mzee Mrema, hizi habari zinazozushwa na picha yangu kusambaza mtandao kuwa naolewa naye ni uongo na uzushi. Picha inayosambaa ni yangu niliipost kwenye page yangu watu wakaichukua na kuiunganisha na ya Mzee Mrema na kuisambaza mtandaoni"
"Simjui Mzee Mrema na sijawahi kukutana naye. Nilikuwa nimelala asubuhi naamka nakuta missed call nyingi. Kwenye wathsaap nikatumiwa Screen shot kuwa naolewa na Mrema" Neema Swai, Mwanafunzi wa CBE anayedaiwa kuolewa na Mwenyekiti wa TLP, Lyatonga Mrema.
Source: Clouds TV
Wewe unawaza katiba mpya tu, itakuwa hata wakati wa mambo yetu huwa unalia KATIBAAA MPYAAAAAA....
Lazima iwaze kwani "hawa jamaa hapa chini" wanataka kuutoa MPUNGA kwa wapiga nzumariView attachment 2161670
Nausemea huo mpunga wa "masponsa" kwa akina "Navalny" wetu......Kwenye ku "join chain" wewe bado? Mbona zumari tunalipiga mno tena kwa mpunga wetu wenyewe?
Nausemea huo mpunga wa "masponsa" kwa akina "Navalny" wetu......
Kumbe Neema mwenyewe MTU eehItakuwa mrema alienda kuongea na Mzee swai,babaake na huyo binti wakayamaliza kiutu uzima
Mzee labda keshalamba mahali.Haiwezi kuzuka taarifa ghafla hivi bila sababu View attachment 2161691
Umeongea nae kaburini?!!!Unadhani hata kuna u Navalny au sponsor basi?
Si ujiulize kwa dhati yako tu:
"Hivi inawezekana je kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bunge la katiba na akachukua posho, leo hajui kama watanzania wanataka katiba mpya?"
Kweli? Na wewe unaona ni sawa? Akipigiwa kelele huyo, ili mseme kuna Navalny au sponsor?
Kwa kutuona je vile?