Kollerkeller
Member
- Jul 8, 2013
- 64
- 12
Rais mkombozi wa Tanzania hajazaliwa, chama cha ukomobzi hakipo. Uadilifu kama wa CDM hauna tofauti hata kidogo na CCM. Kama CDM inashindwa ku-account for 9 billion za ruzuku fedha za walipa kodi, tutegemee nini iwapo hazina yote itakuwa mikononi mwao. Ni hatari tupu. Wengi wa vyama vya upinzani ni makapi ya CCM. Hawana jipya.
misukule na mapepo ya lumumba kazini