Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii pointi kubwa kabisa. Tutafute mshiko, badala ya kujenga chuki kwa waliofanikiwa. Hufnikiwi kwa kumchukia alieyenacho, ila unafanikiwa kwa kuiga mafanikio na hustle za walionacho.Msiwe na roho mbaya kama ya Magufuli.
Tafuteni mafanikio yenu badala ya kupiga domo na kuutukuza umasikini wenu, mkifikiri umasikini ndio uadilifu.
Wewe una ubongo wa mende!! Heshima gani yule Pimbi wa Chato aliyomlindia JK? Wakati kutwa alikuwa anamponda kuwa hakufanya lolote ila yeye ndiyo anafanya.Kwaio baada ya kumtoa Mchechu akamuweka ndugu yake yupi ktk io nafasi ya DG wa NHC?
Km humfahamu Mchechu bora ukae kimya sio kutafta sababu za kijinga kumsafisha.
Una muimplicate vp Mchechu bila kuwaimplicate na vigogo wengine?
ktk vitu JPM aliniangusha ni ile kufanya uchunguzi akikuta issue ina baraka ya msoga anaiacha njiani kumlindia heshima.
Hivi Mahakama ya MAFISADI ilifunga wangapi?Peleka upuuzi wako huko, hatuoni mafisadi yote yamerudi kwa kasi!
Muulize dingi ako ndiyo yupo paleHivi Mahakama ya MAFISADI ilifunga wangapi?
Zamu yako ya kulinda kaburi Chatto umemwachia Nani?Muulize dingi ako ndiyo yupo pale
Ukianza kutukana, walio great thinkers wanajua umesha fikia mwisho wa kufikiri.Kwani mumeo ana maendeleo?
Maza akoZamu yako ya kulinda kaburi Chatto umemwachia Nani?
We una fedha gnai?Ukianza kutukana walio grat thinkers wanajua umesha fikia mwisho wa kufikiri.
Ukiwa na kichwa cha matusi, utakitumia saa ngapi kutafuta fedha zako mwenyewe.
Jamaa (Nehemia) japo anatupiwa makombora, lakini aliipaisha sana CBA akiwa MD & CEO pale.Wewe una ubongo wa mende!! Heshima gani yule Pimbi wa Chato aliyomlindia JK? Wakati kutwa alikuwa anamponda kuwa hakufanya lolote ila yeye ndiyo anafanya.
Hata wewe humfahamu MCHECHU, umeanza kumsikia tu baada ya kumuona NHC
Maza wako Jana kabinuliwa kiinoma kwenye MbinaMaza ako
Nadhani hata mimba zipo zinazopatikana kifisadi.Tusichukulie kirahisi kuwa MCHECHU ni fisadi kwa vile uteuzi wake ulitenguliwa na Magufuli.
Nakuhakikishia kuwa The Citizen wataomba radhi mapema sana kumsafisha Nehemia MCHECHU. Kw sababu kutenguliwa siyo kufukuzwa. Magufuli alikuwa anawatoa kazini watu anaowashuku kuwa ni mafisadi na kuwaweka ndugu zake kwenye nafasi zile.
Isitoshe MCHECHU hakufunguliwa mashtaka yeyote hadi yule hayawani wa Chato anakufa.
Tuache kuwachukia watu kwa vile wana fedha kutuzidi.
Sijawahi kununua mkuuJibu maswali niliyokuuliza hapo juu
Kuna mmoja wa ufipa Kila siku hakosi Ikulu, mpaka wale tausi na swala wamemzoea Sasa, hawamkimbiiMatapeli yote yapo kwenye system sahivi
Tusichukulie kirahisi kuwa MCHECHU ni fisadi kwa vile uteuzi wake ulitenguliwa na Magufuli.
Nakuhakikishia kuwa The Citizen wataomba radhi mapema sana kumsafisha Nehemia MCHECHU. Kw sababu kutenguliwa siyo kufukuzwa. Magufuli alikuwa anawatoa kazini watu anaowashuku kuwa ni mafisadi na kuwaweka ndugu zake kwenye nafasi zile.
Isitoshe MCHECHU hakufunguliwa mashtaka yoyote.
Tuache kuwachukia watu kwa vile wana fedha kutuzidi.
Kwa hili unaweza kuwa mjinga na hao wenye hayo mawazo kama yako. Nenda kajifunze utoe huo ujinga.Atulie apige kazi,zile nyumba alizojenga maporini na kiwanja m100 sisi siyo wajinga.
Anamdai nani sasa, Serikali au mtu binafsi?