senator_RK
Member
- Jun 6, 2022
- 73
- 117
Watu wanaleta emotions tu ila hawana fact hata moja yaan ushindwe kuboresha mandhari ya mji na kuongeza tija ya majengo sababu eti kuna wapangaji hili jambo uliliona wapi duniani uchumi uliobora ni ule unaoendeshwa kwa mising ya uchumi wa soko.Mfano, yale Maghorofa ya pale "faya". Naona ni aina fulani ya uchafu usiostahili kuwepo pale miaka hii aisee.
Kama kipato chako ni cha kukaa bunju usitake kulazimisha kukaa upanga.
Watu wanataka kuzeekea kwenye nyumba za NHC kisa kodi za dezo afu haohao ndo kutwa kwenye mabar na mitandaoni kuwaponda wenzao waliojenga chanika mbagala kibamba n.k kuwa wanakaa maporini.
MCHECHU yupo mbele ya muda watu wenye upeo mdogo hawawez kumuelewa lakin kwa wanaojua historia ya NHC alipoitoa na alipoifikisha wote watamuunga mkono kwenye harakati za kuliboresha shirika kwa kuliongezea project zenye tija na kupendezesha mji pia maana nyumba zote za NHC pale city center ni kama maghofu tu kwa kuanzia na zile za upanga.