Nelly, Chris Brown na Kerrueche wamshobokea Diamond

Status
Not open for further replies.
Yaan nimechekaa mpaka jino la mwishoo diamond ndivyo alivyosemaa auy kuwa alishobokewaa auu?? Hapo lazima karuichi agombane na Wema najua lazima mtoto wa Tandalee atupie ndoanoo

Binamu sijawahi kucheka kama siku ya leo, nimecheka hadi nime harisha, sasa najiuliza hayo maneno kasema nani? Ndomo au global? Au akina nelly walimpigia simu global kumwambia? Angetuonyesha basi hata clip jinsi wanavyomuomba namba na collabo
 
Jamani mie huku hoi kabisa.
Khaaaaa ni nini hiki sasa.

Yani binamu mpaka nimeharisha mwenzio kwa kucheka, sijawahi kukutana na miujiza kiasi hichi, sasa huyo ndomo ndo angekuwa LUPITA NYONGO kupata tuzo ya oscar na nyingine kibao za kimataifa si tungekoma?
 
Unajua nimesoma hii habari kwa ufasaha mara kumi kumi nimekuja kugundua Davido ----- tu kwa Diamond ndo maana hao masupastaa wanamshobokea Diamond badala ya Davido.Akili kumkichwa binamu.

Una uhakika gani kama walimshobokea? , maana Tz nzima tunamjua ndomo kwa kushoboka na mastaa wa nje, hadi nakumbuka kwenye harusi ya p square alijialika mwenyew had psquare wakamuumbua so ndomo tunamjua shobo ni kawaida yake
 
acheni kudanganya watu alikaribishwa kama wageni wengine tu karuuche alikua anawahoji watu kwenye red carpet sasa ulitaka asitabasmu
kipindi cha kura za mama south africa mlikua mnasema diamond akimbiza kura za mama na porojo kibao diamond ni msanii wa kawaida sema ana michezo ya kihuni kudanganya watu
 
Publicity ya Diamond nimeikubali Binamu.

Mpaka kushobokewa na akina nelly na chriss brown unadhan mchezo? Naona ndomo kashapata kaka na shemej maana alimuita kerrueche shemeji sasa uo ukaka na chris brown umetokea wapi, ngozi nyeusi ndo maana tunadharaulika maisha shobo too much
 
Una uhakika gani kama walimshobokea? , maana Tz nzima tunamjua ndomo kwa kushoboka na mastaa wa nje, hadi nakumbuka kwenye harusi ya p square alijialika mwenyew had psquare wakamuumbua so ndomo tunamjua shobo ni kawaida yake

Binamu haujaninyaka nini hapo namaanisha akili za kuambiwa changanya na zako.
 

Mi nikikumbuka alivyotulisha matango pori kujifanya kaalikwa kwenye harusi ya akina p square mpaka kesho simuamini labda athibitishe kwa matendo
 
Duh, NasDaz umeona diamond anavyotutesa.!?
Sijui angepata tuzo ingekuwaje.!?
Nadhani kama ni mwelewa utajilaumu kwa kunipinga ile thread yangu..
 
Last edited by a moderator:
Mpaka kushobokewa na akina nelly na chriss brown unadhan mchezo? Naona ndomo kashapata kaka na shemej maana alimuita kerrueche shemeji sasa uo ukaka na chris brown umetokea wapi, ngozi nyeusi ndo maana tunadharaulika maisha shobo too much

Mimi binamu nimeshapondwagwa kisa kuwaambia kuhusu upigaji kura BET sio sahihi , mashabiki wa Diamond walinijia juu balaa nikajua dogo anapenda kuwa juu ila amekosa management iliyosahihi kumpaisha kimataifa. Management yake imezoea fitna bongo.
 
Binamu haujaninyaka nini hapo namaanisha akili za kuambiwa changanya na zako.

Yaani nichanganye akili zangu na za kuambiwa na magazeti ya global publisher? U cant be serious, wale wapi kibiashara na kuvutia wateja so ni kawaida yao , waandishi wenyewe wakina imelda mtema na mussa mateja? Hiyo source ya habari waliipata wapi?
 
Na wewe unaamini kabisa akina nelly wamemuomba ndomo kufanya nae collabo? Kweli watanzania tumerogwa

we jamaa hujielewi kabisa, hiyo habari umetunga wewe kama mission ya kuendeleza dis na chuki zenu dhidi ya Diamond, nani aisyekujua hapa jukwaani kama we ni hater wa Diamond? Kwa taarifa yako Diamond hakuingia hata mule ndani alipopewa tuzo Davido kwani alichelewa njiani na akakuta kila kitu kimeshakamlika japo nje alifanikiwa kweli kupiga picha na wakina Nelly,
Lakini hapa umekuja kupotosha kwa makusuid na adhabu ya ni ban kutoka mods.

Cc: Invisible Paw JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

hadithi kaitoa global publishers
 
Last edited by a moderator:

Kabla Ya Kumnyooshea Mtu Kidole Fanya Karesearch.......Atleast Pitia Pitia Blogs.......Hiyo Habari Imewasilishwa Tu Na Cuzoo.....
 
Last edited by a moderator:
hadithi kaitoa global publishers

Ebu muambie huyo mshamba, halafu watu wananiboa kila habari nikileta humu wanasema warumi ndo kaandika, wanajifanya wajanja kumbe hamna kitu, ebu nisaidie kuwaelewesha kuwa post nyingi humu natoa kwenye makampuni mbali mbali ya habari za udaku na blogs, habari ikiandikwa na mimi mtajua tu kwa wale waelewa, so nashangaa mijitu inavyonishupalia mimi ndo nimeandika
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…