Nelson Mandela alihalalisha uporwaji wa Ardhi ya Afrika Kusini kwa Boers halafu anaitwa Baba wa Afrika. Afrika tumerogwa na nani?

Uko sahihi kabisa! sijui jamaa walimfanya nn hadi kusaliti watu wake kiasi hiki! aliwasaliti pakubwa sana aisee
Jamaa alisahau wema wote aliotendewa na waafrica wenzie katika kupigania uhuru wao alishindwa hata kuudhuria msiba wa Nyerere
 
Unamzungumzia Nyerere huyu mchonga meno aliyemlaghai rais karume wa Zanzibar nchi yao kutawaliwa tena ni koloni la Tanganyika?

Mchonga meno aliyelipeleka jeshi la Zanzibar na kuuawa kwa wanajeshi wa zanzibar kadhaa katika vita ya kumuondoa Idiamini wa Uganda Madarakani, huku akipeleka askari wachche kutoka upande wake Tanganyika?
Unajua migogoro iliyopo leo Zanzibar na Tanganyika yeye ndio chanzo? Zanzibar ni nchi huru lakini rais wao anachaguliwa ni Watanganyika walioketi dodoma? unadhani alistahili kuitwa baba wa taifa?
 
Wakati mwingine busara na hekima vitawale, wa South wanajeuri ya shibe ndugu yangu, Zimbabwe ile pale wamechukua kila kitu yako wapi sasa?

na hiyo shibe wameipata kutokana na mzungu ila wanashindwa kufahamu hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…