Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Ulaya mbali... Hapo tu South Africa, bidhaa tele zipo na hiyo logo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uongo dhahiri naona umejifungia ndani tu na hujatoka nje
Hata Ulaya wanatumia hizo nembo kwenye bidhaa nyingi sana na mpaka makampuni ninayosambaza chakula airports wanaweka halal products pekee
Pia allergens products zinawekewa alama pia
Supermarkets zote zina sehemu za halal siku hizi kama hujui
Au unataka na picha
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app