Nembo ya "Kenya Bureau of Halal Certification" ina maana gani katika bidhaa ya kitanzania? Nchi yetu haina hiyo Taasisi?

Nembo ya "Kenya Bureau of Halal Certification" ina maana gani katika bidhaa ya kitanzania? Nchi yetu haina hiyo Taasisi?

Huu ni uongo dhahiri naona umejifungia ndani tu na hujatoka nje
Hata Ulaya wanatumia hizo nembo kwenye bidhaa nyingi sana na mpaka makampuni ninayosambaza chakula airports wanaweka halal products pekee
Pia allergens products zinawekewa alama pia
Supermarkets zote zina sehemu za halal siku hizi kama hujui
Au unataka na picha


Sent from my iPhone using Tapatalk
KItu Gani nikitoa Bongo kuleta ulaya hasa upande wa fruits nitatoka na faida nzuri
 
Mi sio Muislam hila hata mi kitu hii ilinizuia kusafirisha vitu kama dagaa na kahawa kupeleka nchi za kiislam pasipokuwa na huo muhuri upenyezi bidhaa yako,Nitaenda kenya nione nawezaje kuwa nawatumia hili bidhaa yangu iende nje.Hili lisiwasumbue vichwa vyenu hizi ni Imani na haitatokea Dunia ikawa na imani moja,lazima hata mashetani yawepo hili siku ya kihama wapate kuhukumiwa na Mwana wa Mungu.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
KItu Gani nikitoa Bongo kuleta ulaya hasa upande wa fruits nitatoka na faida nzuri

Kila matunda yana faida nzuri ni wewe na uwezo wako wa utumaji kama unaweza

Documents zote kama unazo ndio la kwanza
Na kupata mnunuzi huku baada ya kuongea nae na kumpa bei zako
Kama ni matunda wanunuzi wa kwenye markets kubwa za huku wanahitaji matunda na mbogamboga kila siku
Ila wanakupa siku tatu ya wewe kujiandaa na kutuma na kiwango na pia ziwe hazijaiva kabisa ili zikifika hata zikikaa siku nne zisiharibike

Na ukituma ambazo zimeiva imekula kwako wanazimwaga na hela hupati


Inabidi ujiandae na pia ukajifunze kwa watumaji waliobobea kwenye kazi hii hata kama itakugharimu uende UG au Kenya ili upate ujuzi

Huku matunda na mbogamboga zinaletwa kutoka nchi nyingi sana ila kwetu ni Kenya na Uganda
Sisi bongo wenye roho mbaya wote wapo serikalini maana kupata vibali vyote ni kazi labda ujaribu kwanza huko
 
Kila matunda yana faida nzuri ni wewe na uwezo wako wa utumaji kama unaweza

Documents zote kama unazo ndio la kwanza
Na kupata mnunuzi huku baada ya kuongea nae na kumpa bei zako
Kama ni matunda wanunuzi wa kwenye markets kubwa za huku wanahitaji matunda na mbogamboga kila siku
Ila wanakupa siku tatu ya wewe kujiandaa na kutuma na kiwango na pia ziwe hazijaiva kabisa ili zikifika hata zikikaa siku nne zisiharibike

Na ukituma ambazo zimeiva imekula kwako wanazimwaga na hela hupati


Inabidi ujiandae na pia ukajifunze kwa watumaji waliobobea kwenye kazi hii hata kama itakugharimu uende UG au Kenya ili upate ujuzi

Huku matunda na mbogamboga zinaletwa kutoka nchi nyingi sana ila kwetu ni Kenya na Uganda
Sisi bongo wenye roho mbaya wote wapo serikalini maana kupata vibali vyote ni kazi labda ujaribu kwanza huko
Asante kwa elimu nzuri kaka
 
Asante kwa elimu nzuri kaka
Tuko pamoja
Kama unataka kutuma bora utafute bidhaa kavu kama Korosho, karanga na hata spices maana soko hili pia ni la uhakika na guarantee hela unapata

Nilimuuliza jamaa kama anataka Korosho akasema kama ntamletea zile za size ya standard anahitaji 20 ton ila unaweza kuchanganya broken na whole ambazo ni mbichi

Sijapata mdhamini bado ila nasubiri sample nzuri
 
Tuko pamoja
Kama unataka kutuma bora utafute bidhaa kavu kama Korosho, karanga na hata spices maana soko hili pia ni la uhakika na guarantee hela unapata

Nilimuuliza jamaa kama anataka Korosho akasema kama ntamletea zile za size ya standard anahitaji 20 ton ila unaweza kuchanganya broken na whole ambazo ni mbichi

Sijapata mdhamini bado ila nasubiri sample nzuri
Okay
 
Back
Top Bottom