NEMC kuchukua hatua kali dhidi ya nyumba za ibada na sehemu za starehe zinazopiga kelele kwenye makazi ya watu

Misikiti itoe zile adhana na spika. Mabaa yote huku mitaani yawe na sound proof pamoja na hayo makanisa yenye fujo.
 
Misikiti ina nafuu kwakuwa wanafanya ibada kwa dakika chache sana tofauti na makanisa yanayokesha na midundo ya miziki
Unatumia nini kufikiria?? Adhana inakera sana. Maneno ya kiarabu kelele tupu alfajiri mpaka usiku.
 
Kule posta misikitini inafunga barabara ijumaa na kuswali hapo barabarani na watu hawajalalamika.
Nadhani watu wa mipango miji wanastahili lawama, ingefaa wanapopima viwanja nyumba za ibada zitengewe maeneo makubwa ili kuwepo maeneo ya kutosha kufanyia ibada hata kwa nje
 
washasema sana hawa.Waanze kazi si wanakuwa waongeaji tu.
 
naona adhana na kengele zina enda kuwa za sailensa...

wagosi waliomba nyundo za sailensa...
 
Wanipe kazi ya kuwafungia Sound proof Makanisani, ili kuzuia Sauti kutoka nje...!
 
Arusha Arusha Arusha,waende huko Ni balaaa Watanzania hawalali huko na ni kerooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…