Ila KUNA MAKANISA YAPO KARIBU NA MAKAZI YA WATU.
Yaani unakuta kanisa lipo kati kati ya nyumba za watu, Sasa bana ikifika ijumaa hadi jumapili inabidi muhame kwanza maana siyo kwa mziki huo, na hii sio mara ya kwanza kwa wao kutoa tamko kama hili
Pia soma:
NEMC kufanya msako wa wanaopiga kelele nyakati za usiku kwa kiwango kilichozidi Desibeli 40
======
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wametoa onyo kwa wamiliki wa sehemu za kuabudu na nyumba za starehe wanaosababisha kelele kwenye makazi ya watu na kusisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa ikiwa pamoja kufunga maeneo hayo