luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Hili swala limekaa vipi kisheria
Unakuta clubs zimejazana katika maeneo ya makazi ya watu na zimekuwa zikipiga miziki mikubwa inayotoa sauti za mitetemo ambazo huathiri faragha ya mtu anakuwa nyumban kwake.
Hili swala serikali ilitazame kwa umakini maana hizi clubs siku hizi ni kifuru sana zimejazana kama yebo yebo
Mwananchi tunahitaji utulivu tuwapo majumbani mwetu
Unakuta clubs zimejazana katika maeneo ya makazi ya watu na zimekuwa zikipiga miziki mikubwa inayotoa sauti za mitetemo ambazo huathiri faragha ya mtu anakuwa nyumban kwake.
Hili swala serikali ilitazame kwa umakini maana hizi clubs siku hizi ni kifuru sana zimejazana kama yebo yebo
Mwananchi tunahitaji utulivu tuwapo majumbani mwetu