nyanda madirisha
JF-Expert Member
- Apr 1, 2019
- 411
- 727
Nina wasi wasi isije ouwa wanalenga makanisa lkn bar ikawa njia ya kupitia tu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwazo kivipi mkuu ebu fafanuaHakuna tena Tanzania taasisi ya hovyo kama NEMC ni aibu kuiweka chini ya Makamu wa Rais. Nemc imekuwa ndio kikwazo cha maendeleo Tanzania. Ile sheria walicopy Ulaya wanatuletea hapa
Wanalenga wapiga kelele woteNina wasi wasi isije ouwa wanalenga makanisa lkn bar ikawa njia ya kupitia tu??
Hongera kwa ujumbe mzuri na uandishi mzuri sana 🙏🙏Wale ambao hamukerwi na kelele endelei kunyamaza hivyohivyo!
Juzi niliwashauri NEMC kupitia Uzi
Hongereni sana NEMC kwa kuanza udhibiti kelele kwenye bar lakini fanyeni haya kuboresha zoezi
Nawapa pongezi sana kwa mwanzo huu! NEMC Mkiamua mnaweza! Mmefanikiwa kufungia bar chache zinazopiga miziki mikubwa! Ni jambo jema sana! Naomba kushauri jambo moja ndugu zetu NEMC! Kuna msemo Wataalam wanasema "Good approach, Bring best Result" Hakika mmethubutu kuwaonya hawa watu wanakela...www.jamiiforums.com
Kwamba; Walipaswa kuenenda kwa umakini sana kwenye zoezi lao la kutokomeza SPIKA NZIGE MTAANI zinazozalisha kelele nyingi!
Niliwashauri NEMC kwamba badala ya kuwafungia wenye baa badala yake wapokonye spika na kuziteketeza kwa utaratibu!
Nilishauri hivyo ili kuepusha kuibua ugomvi mwingine wa mamlaka zingine za walevi wataokuja kuwateatea wenye baa kwa visingizio vya ajira na mapato!
Nilishauri watumie style ya kutaifisha spika popote zinaporipotiwa kupiga kelele kinyume na usajili/utaratibu
Leo tume ya viwanda ya biashara na uwekezaji Wameibuka hadharani kulaani maamuzi yaliyofanywa na NEMC!
Kwamba NEMC walikosea kufunga baa zinazopiga kelele mtaani hivyo wameagiza zifunguliwe mara moja ziendelee kupiga kelele!
Yamkini hao tume wako sahihi lakini watambue kwamba hawajatumia BUSARA hata kidogo!
Kama waliliona hilo walitakiwa kuwasiliana na NEMC kimya kimya ili Nemc iliyofunga ndiyo watangaze kufungua kwa utaratibu pasipo kuonyesha KUAMRISHWA.
Mamlaka za zingine za serikali wajifunze kutumia busara wanapotekeleza majukumu yao kwasababu mamlaka zote nchini zipo kwa maslahi ya wananchi wenyewe!
NEMC wametumia gharama kubwa sana kufanya misheni ya operesheni tanzania nzima haitakiwi kuzimwa kijinga kijinga baadhi ya watendaji wajinga!
Wananchi wanaokerwa na kelele wasiposaidiwa ipo siku makanisa, misikiti na baa zinazopiga kelele zitaanza kuchomwa moto na wanaokereka kwasababu mamlaka zimeshindwa!
Ukiwaambia sound proof watakujibu ujenzi unaendeleaKuna umuhimu wa Kujenga kumbi za sound proof. Na hapa ndipo clubs sasa zinapoonekana muhimu.
Wakishindwa! Waseme tuyabomoe tujichukulie sheria mkononiHapa lazima NEMC wakamate wale wapigao kelele misikitini na makanisani, wengi hatutaki kelele zisizo na lazima huku mitaani ukizingatia hizi dini ni za kuletewa tu na hazina mantiki yeyote kwetu. Na ikiwezekana turuhusiwe kuwapiga fimbo au mawe hawa wapigao kelele ili wasirudie tena kutusumbua.
Imetosha sasa kuchezewa akili.Wakishindwa! Waseme tuyabomoe tujichukulie sheria mkononi
Kabisa mkuuImetosha sasa kuchezewa akili.
litakuwa CHIMBO lingine la RUSHWA.......waTANZANIA wote tunajuana.....Nawashauri NEMC waweke namba za simu za kikosi kazi chao ili tuwalengeshe maeneo mengi zaidi wakachukue fine, naungana nao kwa mchakato wanaoendelea nao wapo sahihi
Nemc wamesema wanakatishwa tamaa na baadhi ya watendajilitakuwa CHIMBO lingine la RUSHWA.......waTANZANIA wote tunajuana.....
Kwa kweli hata mimi nawaunga mkono, na NEMC walishatimiza wajibu wao kabla ya kuanza kuwafungia ,kuna kipindi hawa watu wa burudani waliitwa na kupewa semina lakini hawasikii ,hawa NEMC hawajakurupuka wanajua wanachikifanyaWale ambao hamukerwi na kelele endelei kunyamaza hivyohivyo!
Juzi niliwashauri NEMC kupitia Uzi
Hongereni sana NEMC kwa kuanza udhibiti kelele kwenye bar lakini fanyeni haya kuboresha zoezi
Nawapa pongezi sana kwa mwanzo huu! NEMC Mkiamua mnaweza! Mmefanikiwa kufungia bar chache zinazopiga miziki mikubwa! Ni jambo jema sana! Naomba kushauri jambo moja ndugu zetu NEMC! Kuna msemo Wataalam wanasema "Good approach, Bring best Result" Hakika mmethubutu kuwaonya hawa watu wanakela...www.jamiiforums.com
Kwamba; Walipaswa kuenenda kwa umakini sana kwenye zoezi lao la kutokomeza SPIKA NZIGE MTAANI zinazozalisha kelele nyingi!
Niliwashauri NEMC kwamba badala ya kuwafungia wenye baa badala yake wapokonye spika na kuziteketeza kwa utaratibu!
Nilishauri hivyo ili kuepusha kuibua ugomvi mwingine wa mamlaka zingine za walevi wataokuja kuwateatea wenye baa kwa visingizio vya ajira na mapato!
Nilishauri watumie style ya kutaifisha spika popote zinaporipotiwa kupiga kelele kinyume na usajili/utaratibu
Leo tume ya viwanda ya biashara na uwekezaji Wameibuka hadharani kulaani maamuzi yaliyofanywa na NEMC!
Kwamba NEMC walikosea kufunga baa zinazopiga kelele mtaani hivyo wameagiza zifunguliwe mara moja ziendelee kupiga kelele!
Yamkini hao tume wako sahihi lakini watambue kwamba hawajatumia BUSARA hata kidogo!
Kama waliliona hilo walitakiwa kuwasiliana na NEMC kimya kimya ili Nemc iliyofunga ndiyo watangaze kufungua kwa utaratibu pasipo kuonyesha KUAMRISHWA.
Mamlaka za zingine za serikali wajifunze kutumia busara wanapotekeleza majukumu yao kwasababu mamlaka zote nchini zipo kwa maslahi ya wananchi wenyewe!
NEMC wametumia gharama kubwa sana kufanya misheni ya operesheni tanzania nzima haitakiwi kuzimwa kijinga kijinga baadhi ya watendaji wajinga!
Wananchi wanaokerwa na kelele wasiposaidiwa ipo siku makanisa, misikiti na baa zinazopiga kelele zitaanza kuchomwa moto na wanaokereka kwasababu mamlaka zimeshindwa!
Hebu jishikilie ,unataka watu tufe kwa makelele ?? Yani taasisi inatimiza wajibu wake unasema aibu ,hivi unajua kero za kelele usiku ?? Kama hujui ni bora ukae kimyaHakuna tena Tanzania taasisi ya hovyo kama NEMC ni aibu kuiweka chini ya Makamu wa Rais. Nemc imekuwa ndio kikwazo cha maendeleo Tanzania. Ile sheria walicopy Ulaya wanatuletea hapa
Hakika mkuuKwa kweli hata mimi nawaunga mkono, na NEMC walishatimiza wajibu wao kabla ya kuanza kuwafungia ,kuna kipindi hawa watu wa burudani waliitwa na kupewa semina lakini hawasikii ,hawa NEMC hawajakurupuka wanajua wanachikifanya