Nenda Sabaya lakini bila wewe haya yasingewezekana kutokea wilaya ya Hai

Hamna lolote moshi maisha ya kutoa rushwa na ufisadi ndio mumezoea na kurithi toka baba na babu zenu. Munaona uadilifu ndio dhambi kwa hivyo wengi munaona sabaya kupiga vita magendo na ufisadi ni mtu mbaya.
 
msisahau kuwa jela haina mwenyewe, mwenyekiti nae amekutwa na mashtaka ya kujibu.
 
WEWE naye ni ukoo wa IBILISI, na IBILISI ni BABA yenu.
 
MWIZI NA JAMBAZI WACHA AFUNGWE HUYO
 
Sabaya alivyokuwa anapiga watu misumali ya ugoko,kuwavunja miguu,mikono, kuwalawiti na kuwakata masikio adhabu yake ilitakiwa iwe ni kupigwa risasi hadharani. Ili takataka kama hiyo isije ikatokea Tena duniani
 
Sabaya anatakiwa afie gerezani hakuna namna
 
Mbowe = Osama
Lakini anaingia Ikulu kwa heshima zote na mama yenu anasimama mlangoni kumpokea.
We baba yako kule Nanjilinji hadi kafa kwa kipindupingu hata Dar haijui. Muwe na heshima na viongozi wenye akili na sio kuwafananisha na hao mnaotaka wenyewe, mbusi we!
Marehemu aliwafundisha roho mbaya hadi nanyi mtakufa nayo kama yeye
 
Hivi huyu kesi yake ya Arusha hukumu bado ili iwe 60?
Wamalize ili tufungue nyingine ya ubakali ili awe na 90 kisha ya kukata masikio watu hiyo ni 15 na kuleta jumla kuu ya yeye kukaa gerezani miaka 105.
 
Hivi huyu kesi yake ya Arusha hukumu bado ili iwe 60?
Wamalize ili tufungue nyingine ya ubakali ili awe na 90 kisha ya kukata masikio watu hiyo ni 15 na kuleta jumla kuu ya yeye kukaa gerezani miaka 105.
Ameshinda kesi zote bila mbeleko ya Dpp
 
Dogo sasa wamwachie naona sasa kashatia adabu... 😀 kwamba haya maveo ya kupeana huwa yanapitaga ila maisha hubaki.
 
Ameshinda kesi zote bila mbeleko ya Dpp
unamwaga upupu JF wakati mwenzio Sabaya ananyea mtondoo pale Jela Karanga, kikubwa hata Sabaya akitoka Jela leo hii hakika cha moto amekipata,ule ubabe wake wote HAUTAKUWEPO tena, naamini hata akiona Kuku njiani atakuwa anapiga magoti na kutoa SHIKAMOO kwa Kuku [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…