realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Kiukweli kabisa kuna watu hawajui kusema Asante Jamani! Sijui ni kutokuridhika na hata kitu kidogo.
Usiposema asante huwezi pata zaidi hata siku moja zaidi ya kupoteza.
Mimi binafsi kuna nimempatia vitu vingi lakini ni kama anataka zaidi yani anaonyesha kuna kitu bado sijampa.
Hiki kitu kinaudhi sana. Hadi unawaza huyu mtu anataka nini Jamani? Tujifunze kusema Asante haijalishi umepewa kitu gani.
Usiposema asante huwezi pata zaidi hata siku moja zaidi ya kupoteza.
Mimi binafsi kuna nimempatia vitu vingi lakini ni kama anataka zaidi yani anaonyesha kuna kitu bado sijampa.
Hiki kitu kinaudhi sana. Hadi unawaza huyu mtu anataka nini Jamani? Tujifunze kusema Asante haijalishi umepewa kitu gani.