Kuachwa ni bora kuliko kuachaUnaacha au unaachwa?
BABY GOOD BYE KILA KITU KINA MWANZO NA MWISHO
NAKUOMBEA MEMA HUKO UENDAKO, TUKIONANA TUSIACHE KUSALIMIANA..This is Life!!
Mm kila nikumuacha anarudi mpaka nataka nihame mji
Yaani mpaka nahis nikijilazimishaa kumkimbia kabisa naweza pala laana maana x kwa upendo huu mkuuHahha mkuu anakupenda hyo
Yaani mpaka nahis nikijilazimishaa kumkimbia kabisa naweza pala laana maana x kwa upendo huu mkuu
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji124] [emoji124]Sibishi kuwa nilikupenda lakini bahati mbaya hatukuendana na sina budi kusema kwekheri katika ukurasa wa mapenzi.
Ahsante kwa muda ulio utumia kwungu, pole kwa muda ulio poteza.
Hapana!Hahahaha basi itakuwa ni wengi sana
Unaogopa nn mpka unakaa kimya si uage tuThe best trick ever ni kukaa kimya
Yeah cha mwishomwishooHahahha mkuu ulimuita "baby" haha
DuuuhMm matusi mwanzo mwenga
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ngoja waje walioachwa
Nimekaa siti ya mbele kusikiliza
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ngoja waje walioachwa
Nimekaa siti ya mbele kusikiliza
Sasa mmeachana kwanini mbona kama mnapendana?Leo nimetoka kuachana msichana wangu mida ya saa tano ..ila neno aliloniambia baada ya kuja chumbani kwangu alisema maneno haya " naomba tufanye mapenzi for the last time" and then baada ya kumaliza akaniambia tena" I will real miss you " roho iliniuma sana lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kumjibu okay na kumuomba aondoke coz angechelewa kuondoka tu nahisi ningebadili mawazo yangu..Nitakukumbuka pia ------
Paka sipirit kuondoa kabisa na kovuMi nilimwacha nikamwambia my heart has failed to love you, I am sorry....
Tumekutana tena baada ya miaka 6 kupita, nikampenda sana lakini sasa naye ameniacha tena dizain ya kulipiza kisasi huku akijua nampenda sanaa
Kwa iyo nimeopt kubakia kimya
Tym hii ninapoandika comment hii kidonda ndo kimeanza kukauka