Neno gani ulimwambia mpenzi wako baada ya kuachana?

Neno gani ulimwambia mpenzi wako baada ya kuachana?

Sibishi kuwa nilikupenda lakini bahati mbaya hatukuendana na sina budi kusema kwekheri katika ukurasa wa mapenzi.
Ahsante kwa muda ulio utumia kwungu, pole kwa muda ulio poteza.
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji124] [emoji124]
 
Leo nimetoka kuachana msichana wangu mida ya saa tano ..ila neno aliloniambia baada ya kuja chumbani kwangu alisema maneno haya " naomba tufanye mapenzi for the last time" and then baada ya kumaliza akaniambia tena" I will real miss you " roho iliniuma sana lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kumjibu okay na kumuomba aondoke coz angechelewa kuondoka tu nahisi ningebadili mawazo yangu..Nitakukumbuka pia ------
Sasa mmeachana kwanini mbona kama mnapendana?
 
Mi nilimwacha nikamwambia my heart has failed to love you, I am sorry....

Tumekutana tena baada ya miaka 6 kupita, nikampenda sana lakini sasa naye ameniacha tena dizain ya kulipiza kisasi huku akijua nampenda sanaa

Kwa iyo nimeopt kubakia kimya

Tym hii ninapoandika comment hii kidonda ndo kimeanza kukauka
 
Mi nilimwacha nikamwambia my heart has failed to love you, I am sorry....

Tumekutana tena baada ya miaka 6 kupita, nikampenda sana lakini sasa naye ameniacha tena dizain ya kulipiza kisasi huku akijua nampenda sanaa

Kwa iyo nimeopt kubakia kimya

Tym hii ninapoandika comment hii kidonda ndo kimeanza kukauka
Paka sipirit kuondoa kabisa na kovu
 
Back
Top Bottom