Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nimeona niseme hapa jambo muhimu.
Iwapo kama siyo Mungu hakuna anayeweza lolote, basi aliye juu aangalie asijeanguka.
Ujumbe kwa watawala upo katika Ufunuo wa Yohana 3: 11.
Naam atakuja kuwapatiliza kila mtu kwa kipimo alichowajazia wengine.
Mungu ailinde Tanzania kwa kila pito tunalopita na kupitishwa
Iwapo kama siyo Mungu hakuna anayeweza lolote, basi aliye juu aangalie asijeanguka.
Ujumbe kwa watawala upo katika Ufunuo wa Yohana 3: 11.
Naam atakuja kuwapatiliza kila mtu kwa kipimo alichowajazia wengine.
Mungu ailinde Tanzania kwa kila pito tunalopita na kupitishwa