Unaweza kuandika utakavyo lkn yatakayotokea sio Yale uliyoandika! Unahakika kiasi gani au unaweza thibitisha kiasi gani yatatokea...?Magumu yameshaanza.
Tutakuwa na muda wa kusoma tu haya maandishi yetu.
Huu ujumbe kwa watawala wa dunia hasa wa kisiasa ni kama unampigia meee gitaa!!Nimeona niseme hapa jambo muhimu.
Iwapo kama siyo Mungu hakuna anayeweza lolote, basi aliye juu aangalie asijeanguka.
Ujumbe kwa watawala upo katika Ufunuo wa Yohana 3: 11.
Naam atakuja kuwapatiliza kila mtu kwa kipimo alichowajazia wengine.
Mungu ailinde Tanzania kwa kila pito tunalopita na kupitishwa
AminaNimeona niseme hapa jambo muhimu.
Iwapo kama siyo Mungu hakuna anayeweza lolote, basi aliye juu aangalie asijeanguka.
Ujumbe kwa watawala upo katika Ufunuo wa Yohana 3: 11.
Naam atakuja kuwapatiliza kila mtu kwa kipimo alichowajazia wengine.
Mungu ailinde Tanzania kwa kila pito tunalopita na kupitishwa