Neno jipya "Usinifokee”

Neno jipya "Usinifokee”

Habari za jumamosi.

Naona huu msemo umeshika nafasi kwa sasa,wadau ningependa kujua au kukumbushwa,huu msemo aliuanzisha ndugu Nani?

Kwa mfano
Aliekua RC wa Tabora aliuanzisha fyekelea mbali, sukuma ndani.
 
Back
Top Bottom