Neno jipya "Usinifokee”

Neno jipya "Usinifokee”

Habari za jumamosi.

Naona huu msemo umeshika nafasi kwa sasa,wadau ningependa kujua au kukumbushwa,huu msemo aliuanzisha ndugu Nani?

Kwa mfano
Aliekua RC wa tabora aliuanzisha fyekelea mbali, sukuma ndani.
Wew umesikia wapi
 
Ni msemo uliotokea mara tu watu wanaoishi dar kufokewa na mtu ambae hakuwa na mamlaka yoyote Kwa kuwafokea Kuwaita kuwa ni wambea 70
Huo msemo..

" Wwe ulisikia wapi!! " ni msemo,nnao ukubali,zaidi ya usinifokee
 
Muulize Yule mzeee aliewafokea watu Wa Dar Kwa kuwaita kuwa ni wambea Kwa asilimia 70 Wakati anasema hivyo alikuwa akiwafokea na kuwanyoshea kidole ndio akaambiwa kuwa asiwafokee maana hana mamlaka yoyote yakumfanya awafokee
 
Muulize Yule mzeee aliewafokea watu Wa Dar Kwa kuwaita kuwa ni wambea Kwa asilimia 70 Wakati anasema hivyo alikuwa akiwafokea na kuwanyoshea kidole ndio akaambiwa kuwa asiwafokee maana hana mamlaka yoyote yakumfanya awafokee
Hahha, mtaje.
 
Asilimia kubwa ya watu kwa sasa tuna misongo ya mawazo, ndio maana kufokeana kumezidi ili kupunguza stress za Boss /kazi.
 
Ni kweli kipindi hiki cha Uchaguzi terminology nyingi zinazaliwa. Ona hii nayo...

"Kufuli tunavunja, Pombe tunamwaga na Ikulu tunaingia"...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
 
Habari za jumamosi.

Naona huu msemo umeshika nafasi kwa sasa,wadau ningependa kujua au kukumbushwa,huu msemo aliuanzisha ndugu Nani?

Kwa mfano
Aliekua RC wa tabora aliuanzisha fyekelea mbali, sukuma ndani.
Ni kazi nzuri ta Baba Levo[emoji23].... alieleza aliposhiriki kipindi cha BIG SUNDAY LIVE. Rejelea mahojiano yale mkuu
 
Habari za jumamosi.

Naona huu msemo umeshika nafasi kwa sasa,wadau ningependa kujua au kukumbushwa,huu msemo aliuanzisha ndugu Nani?

Kwa mfano
Aliekua RC wa tabora aliuanzisha fyekelea mbali, sukuma ndani.
Baba Levo
 
Hili neno limeongezeka umaarufu siku za hivi karibuni na inaonekana limepata maana mpya kwani linapachikwa kwenye kila sentesi.

Je nini maana yake? Ilikuwaje likaanza kutrend ghafla?

Binafsi niliwahi kumuuliza mmoja wa wadau huku mtaani ninapoishi, aliniambia kuwa msemo huo (Usinifokee/Usitufokee) umeanzia kwenye sherehe ya harusi ya Dada wa Mwanamuziki Nasibu Abdul( Daimond) aitwaye Esma.

Katika kutoa zawadi kwa maharusi Daimond alionyesha jeuri ya fedha, sasa kuona hivyo ndipo ndugu wa mume (wakwe) wakamwambia "Usitufokee" na wao wakaenda kutunza fedha zaidi.

Kama itakuwa kinyume nipo tayari kurekebishwa.
 
Huo msemo nauona wa kifala sana harafu umekaaa kishoga tu. Mwanaume anayetamka huo msemo achunguzwe

Chief, punguza hasira, ni maneno ya mpito tuu, nao pia utapita au hukumbuki maneno kama "kuchomoa betri", "gunia la mkaa", "sukuma ndani" nk!!?
 
Binafsi niliwahi kumuuliza mmoja wa wadau huku mtaani ninapoishi, aliniambia kuwa msemo huo (Usinifokee/Usitufokee) umeanzia kwenye sherehe ya harusi ya Dada wa Mwanamuziki Nasibu Abdul( Daimond) aitwaye Esma. Katika kutoa zawadi kwa maharusi Daimond alionyesha jeuri ya fedha, sasa kuona hivyo ndipo ndugu wa mume (wakwe) wakamwambia "Usitufokee" na wao wakaenda kutunza fedha zaidi.

Kama itakuwa kinyume nipo tayari kurekebishwa.
Huu msemo kauanzisha Baba Levo
 
Back
Top Bottom