Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Usitufokee[emoji23][emoji23]
Umeamua kutufokea
Mkuu Unajaribu kutufokea???
Usifokeee sasa utaambiwaHahahaaa! Hivi ndio maana yake nini?
Usifokeee sasa utaambiwa
atakuwa ni TID...huu msemo aliuanzisha ndugu nani?
Usitufokee pleaseHabari za jumamosi.
Naona huu msemo umeshika nafasi kwa sasa,wadau ningependa kujua au kukumbushwa,huu msemo aliuanzisha ndugu Nani?
Kwa mfano
Aliekua RC wa tabora aliuanzisha fyekelea mbali, sukuma ndani.