Ghiti Milimo JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 4,748 Reaction score 7,061 Aug 19, 2020 #41 VON BISMACK said: Usitufokee Click to expand... Nilimsikia Mzee Polepole, eti naye anaonya….. "MSITUFOKEE!"
VON BISMACK said: Usitufokee Click to expand... Nilimsikia Mzee Polepole, eti naye anaonya….. "MSITUFOKEE!"
Ngareroo JF-Expert Member Joined Aug 11, 2019 Posts 2,123 Reaction score 2,449 Aug 24, 2020 #42 Baba Levo Faru Kabula said: atakuwa ni TID Click to expand...
Ngareroo JF-Expert Member Joined Aug 11, 2019 Posts 2,123 Reaction score 2,449 Aug 24, 2020 #43 Mtoto halali na hela said: sijajua mwanzilishi Click to expand... Baba Levo
Ngareroo JF-Expert Member Joined Aug 11, 2019 Posts 2,123 Reaction score 2,449 Aug 24, 2020 #44 Huu msemo ntakuja kupiga mtu Mimi,hasa videmu
Pastory Kimaryo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2018 Posts 967 Reaction score 668 Sep 6, 2020 #46 Jaluo_Nyeupe said: Hili neno limeongezeka umaarufu siku za hivi karibuni na inaonekana limepata maana mpya kwani linapachikwa kwenye kila sentesi. Je nini maana yake? Ilikuwaje likaanza kutrend ghafla? Click to expand... Hili neno lilianzishwa na baba levo, yeye mwenyewe alikiri kuwa mwanzilishi lakini mara ya kwanza alilitamka kwenye scenario gani na kwanini ndo sijui. Jamaa ameprint hadi t-shirts kabisa
Jaluo_Nyeupe said: Hili neno limeongezeka umaarufu siku za hivi karibuni na inaonekana limepata maana mpya kwani linapachikwa kwenye kila sentesi. Je nini maana yake? Ilikuwaje likaanza kutrend ghafla? Click to expand... Hili neno lilianzishwa na baba levo, yeye mwenyewe alikiri kuwa mwanzilishi lakini mara ya kwanza alilitamka kwenye scenario gani na kwanini ndo sijui. Jamaa ameprint hadi t-shirts kabisa