Mzuka wanajamvi.
Yani Papa katuangusha sana. Sasa hivi mtu unaogopa hata kubarikiwa tu na mchungaji.
Yani hata humu jamvin upande wa pili wanatudhibiti sana katika hoja pinzani kwa kutuambia Nenda kabarikiwe.
Unabaki tu umelegea na kunyong'onyea yani wanatuweza kichizi.
Neno kubarikiwa limeshuka hadhi na mantiki.
Papa kazingua sana.
Bora ugaidi na kuuza unga.
Yani Papa katuangusha sana. Sasa hivi mtu unaogopa hata kubarikiwa tu na mchungaji.
Yani hata humu jamvin upande wa pili wanatudhibiti sana katika hoja pinzani kwa kutuambia Nenda kabarikiwe.
Unabaki tu umelegea na kunyong'onyea yani wanatuweza kichizi.
Neno kubarikiwa limeshuka hadhi na mantiki.
Papa kazingua sana.
Bora ugaidi na kuuza unga.