Pre GE2025 Neno langu la mwisho kwa Mbunge mkalia kuti kavu CCM

Pre GE2025 Neno langu la mwisho kwa Mbunge mkalia kuti kavu CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
na ndio maana Rais sahihi ni moja, na 2025 tunakwenda nae tena ngwe ya pili bila mbambamba yoyote 🐒

na huyo mzushi na muongo ambae mnamuona ndie sahihi tumemshauri ajiunge na nyinyi, sio kwa ubaya lakini, ili apotoshe wengine wa huko na kuzalisha wazushi na waongo wengi zaidi,au sio gentleman? si mumpatie nafasi ndugu yenu muongo 🤣
Kuhusu Samia kuja kuwa president kwa awamu nyingine sikupingi na Sina ubaya nae Mama wa watu japo upole wake unaweza kumgalimu kwa kiasi flani

Lakini kuhusu yule mtu aliye fichua uchafu usiongee kitu kawaumbua sana

Na mkimtenga huenda mtakuwa mmeonyesha taswila yenu tusiyo ijua tangu zamani kwamba yeye alikuwa kondoo Kati Kati ya mbwa mwitu walio vaa ngozi za kondoo

Hampaswi kumpoyeza mtu Kama yule Kama kweli mtakuwa si mawakala wa mabebelu

Nategemea busara za mwenyekiti katika hili
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Yes,
inaweza kua haina mashiko kulingana na uelewa na ufahamu wako na wengineo ambao ni mdogo kwenye mambo haya. na hiyo sio dhambi, ni kawaaida tu,

ila hii itabaki kua ni miongoni mwa hoja muhimu na ya maana sana kisiasa kwa mustakabali mwema wa Chama imara na serikali sikivu ya CCM 🐒
Hapana.

Haina mashiko kimantiki. Kwa yeyote.

Kwa sababu ni argument from tradition.

A logical fallacy.

Hii si habari yangu tu.

Hii ni logic.
 
Mpina ana kosa gani?. Yeye kasema ukweli na sisi tumepima na kuona data zinazo support ukweli wake.
 
Back
Top Bottom