Neno moja kwa Kocha wa Taifa Stars baada ya mechi ya leo dhidi ya Burundi

Neno moja kwa Kocha wa Taifa Stars baada ya mechi ya leo dhidi ya Burundi

Timu ilicheza vizuri mpaka pale mkude alipoamua Kula kadi.washambuliaji hawakutimiza majukumu yao ila performance was lit.
 
Taifa Stars itakuja kuwa timu nzuri sana na itakayokuwa inashirki kila fainali za AFCON na WC endapo tu atatokea jasiri wa kuziua na kuzimalizia mbali zife huko timu za Simba na Yanga - basii!
Mkuu unavyopendekeza simba na yanga kutokee jasiri atakayezifuta, huoni hizo timu ndy zenye mchango mkubwa kwa ukuaji wa soka hapa bongo?
 
Sababu za Kufungwa,
1) Kocha kujaribisha wachezaji Hawa ni wale wapya. David Mapigano Kisu anaeza kua mzuri na Clean Sheet zake nne za ligi kuu vs kina Prison sijui. But Uzoefu hana.
2) Kocha kung'ang'ania Wachezaji. Nchimbi na Nado hawana Number hata kwenye Clubs zao, lakini Kocha bado anawapanga tu
3) Uwanja kuharibiwa na Chama Tawala. Hii inasababisha hata wachezaji kushindwa kucheza vizuri.
4) Kadi ya Mkude. Huyu jamaa ana usela-mavi. Mechi ya Kirafiki unakomaa kubishana namna hii. Ukute hata nae alibet mechi iwe na Red card
5) Refa. Nadhani kaingia akiwa "tingasi"
6) Formation ya Kocha nayo imetuangusha. Mkude, Ndemla na Fei Toto hawa ni viungo wa kati na wote wameanza, means kuna mmoja hapa kachukua nafasi ya Number 10. Ina maana alidhamiria kukaba zaidi kuliko kufunga.

Nilikukubali mpaka point ya tano ila hiyo ya sita ndio nimeona kumbe weee ndio wale timu ikiwa mpinzani anaongiza basi jawabu ni kuongeza striker kitu ambacho ni falacy.

Uelewe kwanza mfumo wa 4-3-3
 
Acha ufalaaa wewee...wachezaji wa africa wakija africa hawachezi kwa kiwango cha juu maana kwanza sie huku hatuwajali kama wanavyofanya ulaya.
Ndio maana skushangaa Aston Villa kumfungashia virago samatta...

Kwa kiwango kile hata hapa Simba ataanzia benchi
 
Wakuu Salaam:

Mechi kati ya Tanzania na Burundi imeisha kwa Tanzania kufumuliwa bila huruma goli 1 kwa mtungi.

Goli hilo limefungwa dk ya 85 na Saidi Ntigamasabo.

Wakuu kuna kocha kweli pale Stars?

Mi nafikiri hii timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itolewe kwenye shirikisho la FIFA kwasababu hakuna kitu inafanya kwenye mpira.

Wewe unaonaje?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tatizo Taifa Stars kuna U-CCM, Boora tumefungwa hovyo kabisa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Wachezaji hawaonyeshi kama kuna kitu wanahitaji. Wanacheza kukamilisha ratiba tu.

Yani Samatta kama si kuambiwa kwamba anacheza nje, unaweza dhani anachezea Mwadui. Huoni tofauti yake na waliomzunguka.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Uganda, Kenya, Malawi, Zambia, Msumbiji na hata Rwanda wapo juu ya Tanzania kwenye FIFA ranking.... je Simba na Yanga zao ni nani?
We hujui mpira Rwanda ipo juu ya Tz
 
Hatuna kocha, pia MTU kama samatta nadhani hafai kuirwa kwa timu kwa kipindi hichi ameshindwa kuonesha kuwa yye in Captain na anacheza ligi ya kulipwa
 
Mnavuta bhangi zilizochanganywa na kinyesi ndo matokeo yake haya

Taifa Stars itakuja kuwa timu nzuri sana na itakayokuwa inashirki kila fainali za AFCON na WC endapo tu atatokea jasiri wa kuziua na kuzimalizia mbali zife huko timu za Simba na Yanga - basii!
 
Back
Top Bottom