Neno moja kwa Kocha wa Taifa Stars baada ya mechi ya leo dhidi ya Burundi

Hivi kumbe wapumbavu hawajaisha mjini hapa, sio?

Sio lazima wote tushabikie soccer wengine shabikieni hata Diamond ina tosha.
 
Sasa ndairagije mwenyew ni mburundi unategemea nn
 
Timu ilicheza vizuri mpaka pale mkude alipoamua Kula kadi.washambuliaji hawakutimiza majukumu yao ila performance was lit.
Ulikua makini na mchezo, heshima kwako.
Sio huyo aliekimbilia kumtilia shaka kocha.
Kwa alie angalia game, tumecheza vizuri, timu imeonyesha mwelekeo mzuri (inaelekea tunapo taka wapenda soccer ) tatizo lilikuja pale pale kwenye kadi nyekundu.

Chengine, bado timu yetu inaendelea kutafunwa na mzimu wa kutokua na wafungaji hodari, ukiondoa Samata bado sijamuona mfumania nyavu mwengine zaidi yake.

Tunge kua na mfungaji mwengine wa kusaidiana na Samata, tulikua tunamaliza game mapema sana leo.

Maoni yangu, timu iko fresh imeupiga mwingi sana leo, ila ushindi haukua upande wetu.

Kocha yuko vizuri, timu inacheza kitimu hata mtu asie jua soccer anaona kua timu hii inafundishwa.
Big up sana kocha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tatizo Taifa Stars kuna U-CCM, Boora tumefungwa hovyo kabisa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Wangeshida tusingepumua
 
Ni lini itakuwa upande wenu ?!
 
Yaan duuh!! nimeshangaa mpaka nikaondoka kabisa. Zimebaki dk3 za nyongeza eti anamwingiza ulimwengu, yaan kama vile anapoteza muda kulinda matokeo alopata
Hiyo sub ina faida kwa Ulimwengu kwani inamwongezea idadi ya mechi alizochezea timu ya taifa.Kuna timu nyingine hasa Ulaya kigezo cha kusajiliwa ni kuwa na idadi fulani ya mechi ulizochezea Taifa lako.
 
Tatizo wachezaji hakuna linhine overrated Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…