Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #41
Ahahaha hapo ata kuna washua wanakaa mazingira hayo piaMswahili kitaalamu ni mtu anayetokea pwani pwani huko zenji,Tanga, mtwara,Lindi,bagamoyo ila kimjinmjin mswahili Ni mtu anayekaa mazingira hatarishi(uswazi)
Ahahahaha kwahiyo ambao hawajacoment ni waswahili?Waliocomment hii thread wote sio waswahili safi saana
....
Hahahahah et longolongo nyingiManeno mengi, akili ndogo. Uongo na longolongo nyingi.
Yani hata kama ni tajiri kiasi Gani lakini akitumbukiza ndumba Kwa hapa tz tutasema huyu mtu ni mswahiliswahili sana huyuAhahahahaha mchawi kuna wachawi wakishua bhna
Mnajikana wenyewe..Ahahahaha kwahiyo ambao hawajacoment ni waswahili?
Ahahahah dah hatari sanaYani hata kama ni tajiri kiasi Gani lakini akitumbukiza ndumba Kwa hapa tz tutasema huyu mtu ni mswahiliswahili sana huyu
na njia sahihi ya kuovercome na hiloYeah Ni kweli ila utakuta asilimia kubwa wanajitenga na jamii husika ili wasiharibikiwe watoto wao
Hahahaa midekoWaliocomment hii thread wote sio waswahili safi saana
....
Kuna mswahili kabilaMorng Africa
Ukilisikia neno mswahili kwako unapata maana gani yaani ukisikia mtu anaitwa mswahili ni picha gani inakujia juu ya mtu alie itwa mswahili
Hata lugha yetu pendwa ya kiswahili maneno yake mengi yanatokana na lugha ya kiarabu ingawa waarabu hatuwaoendi lakini maneno yao mengi ndio tunayo yongea kila sekunde
Bubu yako nae mcheza bao hata kahawa piaAnakunywa vile vikahawa vichungu na kashata, anacheza bao au Drumnadrochit. Anaweza akawa na busha halafu hataki operesheni
Mswahili ni kabila la watu wa mwambao mambasa wapo ngazija wapoInategemea mazingira na muktadha.
Mfano ukiwa nje ya nchi watu weusi huitwa waswahili.
Ukiwa mkoani mfano usukumani kama ukienda hujui kisukuma utaitwa mswahili.
Ukiwa Unguja na Pemba na wewe so muarabu mara nyingi huwa nasikia wanamrefer mtu mweusi kama mswahili.
Ukiwa Masaki mswahili ni mtu asiye na tamaduni zinazoendana na "usomi", barbarian, msaniisanii, muhuni muhuni asiyeeleweka mwenye ushawishi mwingi mdomoni.