The Who
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 527
- 878
Hahahah ile nyingine tunaugomvi, ila hii ni yakukupenda naanzaje sasa.Sema kweli mkuu
Ebu nitajie I'd yako iliyozoeleka nikujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah ile nyingine tunaugomvi, ila hii ni yakukupenda naanzaje sasa.Sema kweli mkuu
Ebu nitajie I'd yako iliyozoeleka nikujue
Mh mkuu ugomvi tena mbona sikumbuki mm kugombana na mtu yeyote humu ebu nitajie tu si huwa naona humu jf wanaogombana gombana badae wanakuwa marafikiHahahah ile nyingine tunaugomvi, ila hii ni yakukupenda naanzaje sasa.
Wengine wanakulana kabisaMh mkuu ugomvi tena mbona sikumbuki mm kugombana na mtu yeyote humu ebu nitajie tu si huwa naona humu jf wanaogombana gombana badae wanakuwa marafiki
GoodNikiambiwa Nafurahi sana na Namshukuru
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ukiniambia hilo neno najua unataka tufanye matusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine wanakulana kabisa
Orodhesha baadhi ya hivyo vitendoKama unafiki tu, upendo huonyeshwa kwa vitendo.