Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Na wanawake mkipendaga mnazama hadi na kizazi, unamzalia kabisa.Tulia tu dawa ikuingie,maji utaita mma🤒 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanawake mkipendaga mnazama hadi na kizazi, unamzalia kabisa.Tulia tu dawa ikuingie,maji utaita mma🤒 🤣🤣🤣
😂 mpaka unamloga mtu ni dhahiri umeshakamatika vyema kabisa.Mnajidai tu ila mnaamini sana na mnaanza kung'ang'ania watu mnatafuta na waganga mtuloge
Nifah unanikumbusha mbali sana, na hayo ndio mapenzi kila mmoja yupo kwa ajili ya mwenzie. Chemistry yenu ipo bomba mno.Kwangu hilo ndilo neno ninalopenda kumwambia zaidi kaka mzuri wangu, siwezi kumtumia texts tatu bila kumwambia nampenda.
Same kwake, umegeuka utaratibu wetu na kiukweli ndilo neno napenda kusikia kutoka kwake.
Nyie wenzetu vipi? Asiponiambia ananipenda sina raha.
RED FLAG!Ni mtu malaya & kahaba pekee ambaye huoona neno "NAKUPENDA" lime-expire
Kila mtu ni mwamba ila huko mtaani yanatubamiza vibaya mnoHuwezi kukubali ni kawaida kila mtu huwa anasema hawezi kusumbuliwa na mapenzi
Hiyo siipendi, me more ndio huwa naitumia.Sometime hata asiposema wewe mwandikie tu "me too" uone mrejesho wake 😄
Kiukweli kabisa sijawahi kuwa na mwanaume ambaye chemistry yetu ni kama mimi na kaka mzuri.Nifah unanikumbusha mbali sana, na hayo ndio mapenzi kila mmoja yupo kwa ajili ya mwenzie. Chemistry yenu ipo bomba mno.
Sio unakuwa na mtu hata kukujulia hali tu ni mtihani.
Nakupenda 😘😘Yaan ukiambiwa hivyo badala ya kujibu unaanza kupata wasiwasi.Sijui tatizo nini?
Baby nakupenda!
Baby mwenyewe 👇🏽
View attachment 2899305
Hayo ndiyo mambo sasaKiukweli kabisa sijawahi kuwa na mwanaume ambaye chemistry yetu ni kama mimi na kaka mzuri.
Haya na mengine mengi yalinifanya nikashindwa kumsahau, sasa hivi tuko pamoja tena hakuna kingine nahitaji katika hii dunia.
naelewa uhalisia.🤣🤣🤣🤣🙌🏿