Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia, namba ikishasoma 25+ ni kawaida sana kwa haya aliyoyasema hasa kwa Ke.Veterani anataka kurud ligi kuu, 😂😂. Azingatie ndondo tuu ndio zinamhusu ligi za mchangani. Mengine waachiwe watoto
Asonge mbele tu hakuna namna..ila neno "nakupenda" halija expire na halitakaa ku expire never.. wakongwe ndio wana expire 😅Nakazia, namba ikishasoma 25+ ni kawaida sana kwa haya aliyoyasema hasa kwa Ke.
Haya tuwaachie watoto wetu tu kwasasa. Sie kwa tulipofikia upendo ni kitu unachoki feel zaid(kama upo) kuliko namna nyingine..Hata usipoambiwa, u will just know hapa am loved.Kumbe😩
Kabisa lipo na linabeba maana ile ile.Asonge mbele tu hakuna namna..ila neno "nakupenda" halija expire na halitakaa ku expire never.. wakongwe ndio wana expire 😅
Mikakati yangu hainaga mwezi maalumu🤣🤣🤣Huu ni mwezi wa kimkakati, nimekushtukia🤣
Yaani Hao single ni me au ke mkuuWatu wamekuwa na tamaa ya pesa kuliko utu; sasa hivi wanao zeeka singo wamekuwa wengi sana
Kwa hiyo nihesabu kuwa hii "nakupenda " haijaambatana na sikukuu na mazaga ya tar.14?🤣Mikakati yangu hainaga mwezi maalumu🤣🤣🤣
KeYaani Hao single ni me au ke mkuu
Hahahahahaha....hahahahahaWatu wamekuwa na tamaa ya pesa kuliko utu; sasa hivi wanao zeeka singo wamekuwa wengi sana
Na full tofali je hiyo nini true fake au 🤣🤣🤣🤣
Hiyo ndo nasikia kwako mkuu....