Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tu nakuonaga ni mtu peace, muwazi.
AminaBarikiwa sana
Nafurahi kama una amani sasa eeYeah,vizuri Kabisa Baba....it’s okay Glenn
Dear to yeye.Diamond...anasema kampende babaako
Nasi tunampenda mtu ili tupate tamu,kama tamu huna inakubidi ugharamike mkuuDear to yeye.
Kumwambia mtu nakupenda yafaa ujue nini maana ya upendo.
Upendo ni kuheshimiana/kumheshimu.
Kujamiana/kumjali mtu.
Kuthaminiana/Kumthamini.
Sasa vijana tumeamua kutumia neno nakupenda ili kupata Hapo katikati ya maungo ya mwanamke (sis wakiume)
Na mwanamke anatumia nakupenda pia ili achungulie kilichopo kwenye wallet na faida nyinginezo.
Utapeli mtupu/wizi mtupu
Kabisa leo nimejifunza kitu kwenye comment yake 1 anasema mwananume usioe kama una hela utateseka.Basi tu nakuonaga ni mtu peace, muwazi.
Napendezwa na hayo tu kwako
Usiniambie mrembo na ww unanunua😄😄Nasi tunampenda mtu ili tupate tamu,kama tamu huna inakubidi ugharamike mkuu
Mama/dada yangu mapenzi hayana kanuni, hilo ulilopitia sio kosa kabisa na usijutie.Sikuzote,nilishapotezea mahusiano jf...si unakumbuka nikaja fall kwa mwingine kumbe alikuwaga wa mwingine akaniaminisha nikaishia kuonekana nabania penzi la watu...sahivi nipo na wa mtaani Glenn huku unaambulia kuumia
Mkuu mimi huwa sikosei unaweza kushangaa binti mapepe lkn nikakwambia ni mwema.Kabisa leo nimejifunza kitu kwenye comment yake 1 anasema mwananume usioe kama una hela utateseka.
Kuna posts umefuta sijapenda rafiki yanguYeah,vizuri Kabisa Baba....it’s okay Glenn