Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sionei haya posts zangu mamaKuna mtu ulitaka umwonyeshe?
Kama nakupenda limeisha muda wacha tubunu mbunu😂😂😂I love u🤣🤣 ndivyo ulivyoandika
Sema nini kama signature yakoKabisa Kabisa
Wapambe nuksi.....!!!Sema nini kama signature yako
Nothing is permanent...
Nakupenda mwanzo wa mahusiano huwa ina upako fulani hivi😃😃😃ila wapambe wakianza yao unaona kama kibwagizo tuu
Sio pow kabisa mkuu.Wapambe nuksi.....!!!
Labda tupigane, maana sasa hivi tu tumetoka kuambizana hivyo.Ushapigwa ww
Sio kweli [emoji23][emoji16]Yaani ukiambiwa hivyo badala ya kujibu unaanza kupata wasiwasi. Sijui tatizo nini?
Baby nakupenda!
Baby mwenyewe [emoji1427]
View attachment 2899305
😂😁😁 MamboMbona unafukunyua vitu🤨🙄