Neno 'naumia' wakati wa tendo la ndoa

Neno 'naumia' wakati wa tendo la ndoa

Hivi hawa vijana wa mulugo hawajafungua shule? Maana naona wamejazana humu jamvini tu
 
Mkuu huyu wakwangu haka kamchezo kapo tangu tunaanza mausiano, na nizaidi ya miezi 5 ilopita. Mwanzoni nilijuwa atakuja kuacha lakini haiwi na mm nshachoka kuskia vilio wakati wa makatiko, maana mzyuka unachelea
mkuu hebu jaribu kuwa mtu wa romance sana kabla ya sex!!

make it atlist kwa dakika 30!

zungumzeni yale mazungumzo ya kimahaba zaidi, vuta concetration, ikiwezekana muwe ile zero distance with very light cloths!

ukiona sasa vimeiva, pakua ule!!

KUMBUKA KUTUMIA CONDOM!!
 
Atakuwa ana umia kweli ila anafanya kukufurahisha wewe tu
Ushiboy umeshampata mchumba tayari JF
 
Kwakifupi nihivi:-
Kila tufanyapo tendo la ndoa, mwenzangu hutoa kilio pasipo machozi, huku ameikunja sura yake na wakatihuo hutamka neno naumia. Hiikiti imekua inanipa wakati mgumu na kunifanya nimuonee huruma mpenziwangu na kumuuliza, nitoke? chakushangazi yeye hukataa na kuonyesha kufurahia tendo.
Maswali:-
Je, hulia kwa kupata maumivu?
Je, hulia kwa kuhisi raha?
Je, nawengine wanaliaga kama wangu?
Je, hutoa kilio kwa mbwembwe tu?
Naombeni ushauri wenu wakuu
ushiboy ulipata selection au la?
 
Last edited by a moderator:
Kuna Cheupe Mmoja nilimpata alikuwa anapiga makelele kidogo nikimbie gesti... kudadeki.... nikasema leo demu kapandisha mashetani.... na Kuna Cheupe mmoja huyo husema Don't stop don't stop hadi mwisho...

Kuna Mngoni huyo yeye unaweza sema anavuta bangi maana yeye kila ikiingia analia shiiiiiii shiiiii shiiiii na ikitoka ushiii ushiiii niligonga mpaka nikaona nini hii tena mbona mpya..... ila wa sasa huyu msingida mrangi anatulia tuli like gogo nadhani soon nitamwaga hana hata kelele... na haoneshi kama anasikia kitu.... Singida kuna nini au ndio mambo ya kukeketa?
 
Inaitwa mauzuri uchungu iyoo aahaa wanawake siku zote ni wacheza drama zuga tu izo
 
mkuu hebu jaribu kuwa mtu wa romance sana kabla ya sex!!

make it atlist kwa dakika 30!

zungumzeni yale mazungumzo ya kimahaba zaidi, vuta concetration, ikiwezekana muwe ile zero distance with very light cloths!

ukiona sasa vimeiva, pakua ule!!

KUMBUKA KUTUMIA CONDOM!!

Asante kwa ushauri na nasahazako mkuu
 
wakati nimemjibu kutokana na maelezo yake, toka!!!

mbona hasira mtoto mzuri!

jipe raha mwenyewe bibie..!

hahaaa.. chezea mabonge wewe!

464.jpg
 
!
!
easy, akisema anaumia chomoa then nenda nje kachukue mchanga kilo moja unaumwaga chini halafu mwambie akojoe kwenye huo mchanga. akifanikiwa kuchimba kishimo jua kweli anaumia ila akiulowesha bila kishimo jua ni swaga tu.
 
!
!
easy, akisema anaumia chomoa then nenda nje kachukue mchanga kilo moja unaumwaga chini halafu mwambie akojoe kwenye huo mchanga. akifanikiwa kuchimba kishimo jua kweli anaumia ila akiulowesha bila kishimo jua ni swaga tu.

Uwwiiiiiii du wanaume mnamambo ngoja nijipime kwa mchanga lol
 
!
!
easy, akisema anaumia chomoa then nenda nje kachukue mchanga kilo moja unaumwaga chini halafu mwambie akojoe kwenye huo mchanga. akifanikiwa kuchimba kishimo jua kweli anaumia ila akiulowesha bila kishimo jua ni swaga tu.

Asante mkuu.
Ila doh...!! cv yako inatisha
 
Jitaidi kumuandaa hakikisha ana kojoa mara mbili ndio unaingiza
 
Back
Top Bottom