kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
kachukue zawad umeshindda mapema kabisaPneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis (forty-five letters) is lung disease caused by the inhalation of silica or quartz dust.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kachukue zawad umeshindda mapema kabisaPneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis (forty-five letters) is lung disease caused by the inhalation of silica or quartz dust.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis (forty-five letters) is lung disease caused by the inhalation of silica or quartz dust.
Kweli tupuMwongo
Haha sawakachukue zawad umeshindda mapema kabisa
Yaa hilo nafikiri ndio refu zaidiKah! Nadhani hili ni zaidi ya yote!
Lugha ya Kiswahili imepitia michakato mingi mpaka kupata maneno ya lugha ya Kiswahili. Kuna ukakaishaji, udondoshaji, uyeyushaji n.kMwongo
Ndugu yangu kuna kukua kwa Lugha na kuenea kwa LughaHatuna neno kama hili ktk lugha ya Kiswahili.
Hapa umefanya kosa la kisarufi la kuongeza viambishi visivyohitajika mwishoni mwa neno.
Three hours!Methionylthreonylthreonylglutaminylalanylisoleucine
- It is the longest English word. The longest known word in English, is the chemical name of titin. Titin is the largest known protein. This word takes roughly 3 hours to pronounce
Nenda kasome. Makosa ya kisarufi na kimantiki ndiyo utaelewa na maanisha nini.Ndugu yangu kuna kukua kwa Lugha na kuenea kwa Lugha
Kuna tamathali za semi na mbinu za kisanaa ktk Lugha
Kuna Usanifu katika Lugha na Ufasaha ktk Lugha
Kuna Nahau na Methali pamoja na Vitendawili katika Lugha
Kuna Rejesta na Misimu pamoja na Misemo ktk Lugha
Kitu hakuna kwenye Lugha ni hicho ulichokileta Wewe... Siasa katika Lugha!
Nina mashaka na uandishi wako. Nafikiri somo la Kiswahili ulilikimbia darasani. Uzi wako haujafuata alama za uandishi. Umeandika andika tu. "/au'' sijui ni vitu gani? Pole sana. Usibishane na ww uonekane. Kumbuka JF kuna watu wa kila aina na taaluma zao kwahiyo uwe makini na mtu unayebishana naye la sivyo utaumbuka.Habari za Muda huu;
Kuna maneno mengine ni marefu sana kiasi kwamba hata utamkaji wake ni shida kwa baadhi ya watu
Mfano mimi neno limenisumbuaga sana kwa urefu wake ni
Australopithecus
Andika na wewe neno refu (Msamiati mrefu) unaoujua kwa Lugha ya Kiswahili na/au Kiingereza
KindumbwendumbweShaghalabaghala.