KichwaBOGA Member Joined Jun 28, 2020 Posts 15 Reaction score 33 Jul 19, 2020 #1 Mwanaume ukiwa huna hela amini nakuambia, mwanamke atakayekupenda kwa dhati ni MAMA yako tu.
Wang Shu JF-Expert Member Joined Feb 1, 2014 Posts 2,562 Reaction score 3,715 Jul 19, 2020 #2 KichwaBOGA kwenye ubora wako!
C commm JF-Expert Member Joined Sep 6, 2019 Posts 1,709 Reaction score 1,963 Jul 19, 2020 #3 Imeisha hiyo
Joseph lebai JF-Expert Member Joined Jul 19, 2017 Posts 8,452 Reaction score 8,670 Jul 19, 2020 #4 Nakataa! Kuna mwenye upendo wa dhati, kuna mwenye uwezo ila anakubali kuolewa na kapuku kwa kitu "upendo wa dhati"
Nakataa! Kuna mwenye upendo wa dhati, kuna mwenye uwezo ila anakubali kuolewa na kapuku kwa kitu "upendo wa dhati"
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 33,679 Reaction score 49,841 Jul 19, 2020 #5 Inategemea,wengine tunapendwa zaidi na wake zetu kuliko wazazi wetu.
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 32,529 Reaction score 76,691 Jul 19, 2020 #6 Na wewe ukiwa huna tako utapendwa na Bibi yako tu maana anajua amepata mtu wa kumrithisha mikoba yake..π
Na wewe ukiwa huna tako utapendwa na Bibi yako tu maana anajua amepata mtu wa kumrithisha mikoba yake..π
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 9,679 Reaction score 39,087 Jul 19, 2020 #7 KichwaBOGA said: Mwanaume ukiwa huna hela amini nakuambia, mwanamke atakayekupenda kwa dhati ni MAMA yako tu. Click to expand... ππ
KichwaBOGA said: Mwanaume ukiwa huna hela amini nakuambia, mwanamke atakayekupenda kwa dhati ni MAMA yako tu. Click to expand... ππ
Ncherry1 JF-Expert Member Joined Jun 15, 2016 Posts 2,181 Reaction score 2,250 Jul 19, 2020 #8 Mamako mwenyewe labda uwe peke ako mkiwa weng utasimangwa weeee
MLEVi Mmoja JF-Expert Member Joined Jun 29, 2019 Posts 8,514 Reaction score 15,050 Jul 20, 2020 #9 Na wanawake niwaambie tu ukweli pesa zetu zina manyanyaso