kimaus
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 582
- 707
Nilikuwa nasikia tu kuhusu ajira za kujuana ktk sekta ya maliasili km TANAPA, NGORONGORO, WIZARANI nk, sasa naanza kuamini kwani tangu nimeanza kusoma wildlife mwaka wa kwanza mpaka sasa nimemaliza sijaona matangazo ya kazi za UHIFADHI sehemu hizi, je hawaajiri?