Nestory Irankunda mchezaji wa Tanzania anayeliliwa na Bayern Munich

Nestory Irankunda mchezaji wa Tanzania anayeliliwa na Bayern Munich

View attachment 2815046

NESTORY IRANKUNDA, kutoka Wilayani Kasulu, Kigoma, Tanzania mpaka Australia ambapo leo anahitajika na Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani! Ndoto za Nestory Irankunda ni kuitumikia Tanzania kwa kuivaa jezi ya Taifa Stars.

Ni Mwanasoka ambaye ana uwezo na ubora wa kucheza timu ya taifa ya Tanzania, Nestory Irankunda alizaliwa na kulelewa kambi ya Wakimbizi pale mkoani Kigoma! Bahati mbaya sana kijana wetu hajaitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars, anaitumikia klabu ya Adelaide United ya nchini Australia.

Hii ni another talent kubwa mno mno inastahili sana kuiwakilisha bendera ya Tanzania.
kuwa na asili ya tanzania hamfanyi kuwa mchezaji wa tanzania bana, sisi tunajizibia riziki wenyewe wako wengi kama hao na wanataman kucheza tanzania ila mmekataa uraia pacha yaan eti uyo ache uraia wa australia aje kuwa mtanzania sio rahisiiii aseee
 
Watanzania tumekuwa na tabia za kikenya!.
 
kuwa na asili ya tanzania hamfanyi kuwa mchezaji wa tanzania bana, sisi tunajizibia riziki wenyewe wako wengi kama hao na wanataman kucheza tanzania ila mmekataa uraia pacha yaan eti uyo ache uraia wa australia aje kuwa mtanzania sio rahisiiii aseee

Kama masuala ya uraia pacha ndiyo uchochoro wa kutaka aje kuchezea Taifa stars basi acheze huko huko, hatumtaki kuja huku!
 
Wazazi wake ndo wakimbizi.yeye kazaliwa Tanzania kwenye kambi ya wakimbizi.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kwa sheria zetu si Raia wa Tanzania hata kama alizaliwa Tanzania.
Binti wa Kitanzania akizaa na mkimbizi mtoto wake hawezi kuwa Mtanzania. Watoto wa Kitanzania waliozaliwa na watanzania waishio nje ya nchi yetu mfano mabalozi, hawawezi kugombea kiti cha Urais Tanzania. Hizo ndizo sheria zetu kwa uchache. Irankunda aombe uraia wa Tanzania kama alivyofanya Kib D
 
Hii nchi inaongozwa na viongozi wa ajabu sana. Miaka nenda wanakataa uwepo wa uraia pacha, kwa sababu zao tu za kipuuzi.

Tungekuwa na uraia pacha, mpaka muda huu tungekuwa na mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali; ikiwemo hii ya michezo.
 
Hii nchi inaongozwa na viongozi wa ajabu sana. Miaka nenda wanakataa uwepo wa uraia pacha, kwa sababu zao tu za kipuuzi.

Tungekuwa na uraia pacha, mpaka muda huu tungekuwa na mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali; ikiwemo hii ya michezo.
Sijui kwa nini wanakataa ila kwenye michezo tungekuwa mbali sana.
 
Katiba ya nchi yako ni tofauti na ya Marekani.
US. Hata ukizalia kwenye ndege au meli iliyowekwa chata yao wewe ni Mmarekani bila kujali ilikuwa imepaki wapi mda huo.
Huyu kijana na wazazi wake hawakupewa uraia wa Tanzania.
Achana na ule uongo wa civics ya form one ya citizen by birth.

Katiba ya nchi yako ni tofauti na ya Marekani.
US. Hata ukizalia kwenye ndege au meli iliyowekwa chata yao wewe ni Mmarekani bila kujali ilikuwa imepaki wapi mda huo.
Huyu kijana na wazazi wake hawakupewa uraia wa Tanzania.
Achana na ule uongo wa civics ya form one ya citizen by birth.
Ana passport ya nchi gani?
 
Katiba ya nchi yako ni tofauti na ya Marekani.
US. Hata ukizalia kwenye ndege au meli iliyowekwa chata yao wewe ni Mmarekani bila kujali ilikuwa imepaki wapi mda huo.
Huyu kijana na wazazi wake hawakupewa uraia wa Tanzania.
Achana na ule uongo wa civics ya form one ya citizen by birth.
Umeona kuna sehemu yoyote imetajwa Burundi kwenye wasifu wake?
 

Attachments

  • Screenshot_20231116_085924_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20231116_085924_Samsung Internet.jpg
    89.3 KB · Views: 3
Kwa sheria zetu si Raia wa Tanzania hata kama alizaliwa Tanzania.
Binti wa Kitanzania akizaa na mkimbizi mtoto wake hawezi kuwa Mtanzania. Watoto wa Kitanzania waliozaliwa na watanzania waishio nje ya nchi yetu mfano mabalozi, hawawezi kugombea kiti cha Urais Tanzania. Hizo ndizo sheria zetu kwa uchache. Irankunda aombe uraia wa Tanzania kama alivyofanya Kib D
Weka reference ya hiyo sheria
 
Kama masuala ya uraia pacha ndiyo uchochoro wa kutaka aje kuchezea Taifa stars basi acheze huko huko, hatumtaki kuja huku!

Hajaomba uraia pacha. Usimlishr maneno. Kwanza yule ni mrundi Wala sio mtanzania.
 
Adelaide yenyewe inachana kweli mikeka, adelaide gani unaiongelea mpaka aitwe bongo?
 
Mrundi huyo na hawezi Rudi tena kucheza huku maana tayar ni raia wa Australia na keshacheza timu ya taifa ya vijana.
Timu ya taifa ya vijana ni sawa, bado anaweza kuitumikia Taifa Stars kama ataitwa na akakubali, akicheza timu ya taifa ya wakubwa ndo basi ila ya vijana sheria inaruhusu
 
Katiba ya nchi yako ni tofauti na ya Marekani.
US. Hata ukizalia kwenye ndege au meli iliyowekwa chata yao wewe ni Mmarekani bila kujali ilikuwa imepaki wapi mda huo.
Huyu kijana na wazazi wake hawakupewa uraia wa Tanzania.
Achana na ule uongo wa civics ya form one ya citizen by birth.
Kuna Mkenya kajifungua hapa Tz ,mtoto ni raia wa Tanzania
 
Back
Top Bottom