Netanyahu akimbia nyumbani kwake. Ahamia kwa rafiki yake kwenye handaki la nyuklia kuhofia usalama wake

Netanyahu akimbia nyumbani kwake. Ahamia kwa rafiki yake kwenye handaki la nyuklia kuhofia usalama wake

Sisi tunawalilia ndugu zetu Wapalestina miaka yote. Kwa maelfu ya wapalestina wanaouliwa , akitekwa au kuuliwa myahudi mmoja tu ni faraja kwetu.
Sawa na sisi mamilioni ya magaidi yakipelekewa moto tuna furahia. Kwanza yameteka ndugu zetu watz. Israel na marekani unguza hayo mavaa kobaz na pedo aka magaidi pigaaa na uzao wao
 
Sisi tunawalilia ndugu zetu Wapalestina miaka yote. Kwa maelfu ya wapalestina wanaouliwa , akitekwa au kuuliwa myahudi mmoja tu ni faraja kwetu.huy9 kamabda kikosi c by ake kizima kilij88bgiza kichwa kichwa, jionee chini hapo:

View attachment 2797725

Matokeo:

IMG-20231030-WA0004.jpg
IMG-20231030-WA0001.jpg
IMG-20231030-WA0006.jpg
 
Sawa na sisi mamilioni ya magaidi yakipelekewa moto tuna furahia. Kwanza yameteka ndugu zetu watz. Israel na marekani unguza hayo mavaa kobaz na pedo aka magaidi pigaaa na uzao wao
Nyie ni lazima mfurahi, mungu wenu myahudi.

Hatushangai.
 
hayo ni matokeo ya vita, akiuawa raia ndio tunatakiwa kuumia, ila wakiuana wanajeshi kwa wanajeshi, shida ipo wapi? wao wenyewe wanajua kuwa vita ni kifo na wapo tayari kwa hilo ndio maana wengine wampanda ndege toka marekani kuja kusaidia nchi yao ya israel.
 
na wewe akiuliwa muizraeli unasiaje
akiuliwa musrael najisikia vibaya, akiuliwa mpalestina najisikia vibaya, hasa hao raia. wanajeshi wakiuliwa najisikia vibaya kwamba pengine wanaweza kuwa hawajafa katika Mungu, yaani wamekufa kabla hawajatengeneza maisha yao na Mungu hivyo wanaenda moja kwa moja motoni, though hata wao isingekuwa hivyo wanajua kuwa jeshi ni kifo na kifo ni jeshi.
 
Mnaandika propaganda dhidi ya israel kizandiki, kwani hamuoni magaidi ya hamas ndiyo yalianzisha uchokozi, kwa hiyo yaachwe tu bila kushughulikiwa? Israel songa mbele fagia hayo magaidi yashike adabu
 
"Mungu" wako alikuwa na tamaduni zipi na alikuwa anavaa vipi?
Umeona tukivaa kitamaduni za watu..? Kama wewe mpaka kuosha nduku na mengine umefundishwa na hayo maandishi ya miungu ya kiarabu. Ila iman yangu hatufuati kila kitu cha watu wa huko. Tunafuata maadili yetu
 
Umeona tukivaa kitamaduni za watu..? Kama wewe mpaka kuosha nduku na mengine umefundishwa na hayo maandishi ya miungu ya kiarabu. Ila iman yangu hatufuati kila kitu cha watu wa huko. Tunafuata maadili yetu
Mungu" wako alikuwa na tamaduni zipi na alikuwa anavaa vipi?
 
Nadhani aliekuja ni Jonathan natanyahu aka Yona.
Sidhani kama Benjamin netanyah ualikuja.
Ila Niko tayari kwa kusahihishwa.
Mkuu upo sawa kabisa humu ndani Kuna vituko sana, hiyo oparesheni Netanyau hakuwepo Bali aliyekuepo ni marehemu kaka yake.
 
Huyo ni kiongozi mkubwa wa serikali nasio mamuzi yake akajifiche wapi Hilo ni suala la wanausalama wanaomlinda waliokula kiapo kuhakikisha usalama wa Netanyau ndio wanaoamua wamfiche wapi!
 
Back
Top Bottom