Netanyahu anasema akishawakomboa Wayahudi atakwenda Afrika kuwakomboa Waafrika

Netanyahu anasema akishawakomboa Wayahudi atakwenda Afrika kuwakomboa Waafrika

Netanyahu alikuwa anaongea na viongozi wa Aftika miaka michache iliyopita.

Actually alikuwa anamnukuu Theodor Herzl,kiongozi wa Wayahudi aliyesema: "After I have freed the Jews,I will go to Africa to save the Africans."

Netanyahu anasema:"I believe in Africa. Here we have the Black Jews. Every few weeks I make great efforts to integrate them into our society."
Wale mafalasha wa Ethiopia ambao ni wayahudi mbona wakienda huko Israel wanawatimua ,wengine wanawahasi ili wasizaliane
 
Netanyahu alikuwa anaongea na viongozi wa Afrika miaka michache iliyopita.

Actually alikuwa anamnukuu Theodor Herzl, kiongozi wa Wayahudi aliyesema: "After I have freed the Jews,I will go to Africa to save the Africans."

Netanyahu anasema:"I believe in Africa. Here we have the Black Jews. Every few weeks I make great efforts to integrate them into our society."
atamkomboa jews gani wakati washabobea kwenye ushoga,hakuna jews atakayeweza kumkomboa jews mwenzie maana wote hawana malinda
 
Urusi wamemwaga mboga hivi juzi kati na kutoboa siri kwamba Yesu alikuwa ni mtu mweusi...pia mfalme Daudi...pia Abrahamu...Isaka....Yakobo....pia Musa...
"Time will tell".
kwamba Urusi ndo walikwepo enzi hizo za Yesu? Urusi hii ya juz tu ? kiweni serious asee

hizi kauli ilibidi zisemwe na Misri au Uchina au Mongol au uturuki au Roma
 
Netanyahu alikuwa anaongea na viongozi wa Afrika miaka michache iliyopita.

Actually alikuwa anamnukuu Theodor Herzl, kiongozi wa Wayahudi aliyesema: "After I have freed the Jews,I will go to Africa to save the Africans."

Netanyahu anasema:"I believe in Africa. Here we have the Black Jews. Every few weeks I make great efforts to integrate them into our society."
Baadhi ya Wa Afrika ukiacha South Afrika, Senegal, Gambia, Mali, Benin, Kenya, wengine wote inabidi waludishwe utumwani, mpaka akili ziwakae sawa,
 
fursa iyo,mjanja mmoja ataanzisha kanisa la ukombozi kutoka israel apige pesa zake,wafuasi wengine washapatikana humu.

Africa shithole countries ina watu wajinga kupindukia.😁
 
kwamba Urusi ndo walikwepo enzi hizo za Yesu? Urusi hii ya juz tu ? kiweni serious asee

hizi kauli ilibidi zisemwe na Misri au Uchina au Mongol au uturuki au Roma
Juzi ni lini...???.....majina hubadilika tu urusi zamani iliitwa "Rus"kati ya karne ya 9 mpaka 13.
 
Back
Top Bottom