Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Wale mafalasha wa Ethiopia ambao ni wayahudi mbona wakienda huko Israel wanawatimua ,wengine wanawahasi ili wasizalianeNetanyahu alikuwa anaongea na viongozi wa Aftika miaka michache iliyopita.
Actually alikuwa anamnukuu Theodor Herzl,kiongozi wa Wayahudi aliyesema: "After I have freed the Jews,I will go to Africa to save the Africans."
Netanyahu anasema:"I believe in Africa. Here we have the Black Jews. Every few weeks I make great efforts to integrate them into our society."
Mbona kifaransa kipo na English ndio inatumika vyuoni au umeona kiarabu tu mnataka lugha za mabwabwa wenzenuAanze Tanzania waarabu wanapewa maeneo na Sasa lugha yao imeingizwa kwenye mitaala
Tuanze na wewe.Mtu kama wewe unahitaji kukombolewa fikra zako
Aje tu awaokoe asee, maana wanataabika.Hata wa masaai ni Jews pia
HujanielewaKwa hiyo hizi siri Urusi ndio wanazo? Yesu katokea Middle East na kabla ya kuwa na mchangamano mkubwa wa kijamii, hivyo humtarajii awe mweusi au mzungu.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Huyu ndiye alitaka kuwa Mbunge wa Kinondoni. Hata hajui anawakilisha "muamala" gani..! Aise, tumepigwa kitu kizito.
Halafu yeye anajiona siyo mtumwa?Jina lako hapo lenyewe la kitumwa... unajisahau...
Anza wewe hapo kutumia majina ya kimila....
Jiheshimu Kama unafokolewa au ndio tabia yako usiingize na wengineMbona kifaransa kipo na English ndio inatumika vyuoni au umeona kiarabu tu mnataka lugha za mabwabwa wenzenu
Hahahaha... mkuu... ni balaaHalafu yeye anajiona siyo mtumwa?
Mpaka majina ya kitumwa na bado anashangaa!?🤣🤣🤣
Afrika ni Laana
atamkomboa jews gani wakati washabobea kwenye ushoga,hakuna jews atakayeweza kumkomboa jews mwenzie maana wote hawana malindaNetanyahu alikuwa anaongea na viongozi wa Afrika miaka michache iliyopita.
Actually alikuwa anamnukuu Theodor Herzl, kiongozi wa Wayahudi aliyesema: "After I have freed the Jews,I will go to Africa to save the Africans."
Netanyahu anasema:"I believe in Africa. Here we have the Black Jews. Every few weeks I make great efforts to integrate them into our society."
hahahaaa ila we jamaaa
kwamba Urusi ndo walikwepo enzi hizo za Yesu? Urusi hii ya juz tu ? kiweni serious aseeUrusi wamemwaga mboga hivi juzi kati na kutoboa siri kwamba Yesu alikuwa ni mtu mweusi...pia mfalme Daudi...pia Abrahamu...Isaka....Yakobo....pia Musa...
"Time will tell".
Baadhi ya Wa Afrika ukiacha South Afrika, Senegal, Gambia, Mali, Benin, Kenya, wengine wote inabidi waludishwe utumwani, mpaka akili ziwakae sawa,Netanyahu alikuwa anaongea na viongozi wa Afrika miaka michache iliyopita.
Actually alikuwa anamnukuu Theodor Herzl, kiongozi wa Wayahudi aliyesema: "After I have freed the Jews,I will go to Africa to save the Africans."
Netanyahu anasema:"I believe in Africa. Here we have the Black Jews. Every few weeks I make great efforts to integrate them into our society."
Mihimili..pillars
Mialama anayojua yeye aliuruka wa Tigo😀Mihimili..pillars
Juzi ni lini...???.....majina hubadilika tu urusi zamani iliitwa "Rus"kati ya karne ya 9 mpaka 13.kwamba Urusi ndo walikwepo enzi hizo za Yesu? Urusi hii ya juz tu ? kiweni serious asee
hizi kauli ilibidi zisemwe na Misri au Uchina au Mongol au uturuki au Roma