Netanyahu and his partners are out of touch with reality

Netanyahu and his partners are out of touch with reality

Ni kweli lakini Netanyahu anakuwa njia panda kwa sababu Hamas wanasema hakuna deal lolote bila IDF kuondoka Gaza na vita kuisha, kitu ambacho Netanyahu hataki na anaona kama ni kuwapa ushindi hamas.

Kuhusu mateka ni kwamba inaonekana wanakuwa na taarifa ya baadhi wa mateka walipo na wanashindwa kuchukua hatua kwa kuogopa hasara kama iliyotokea jana. Kwa sababu wanasema operation ya jana ilikuwa approved tangu Alhamis na inaonekana imefanyika kama kuwashinikiza hamas kukubal deal.
Shida Netanyahu aliweka malengo ambayo kwa sasa ynamuweka njia panda.
Kinacho muweka njia panda Netanyau ni jinsi ya kulinda madaraka yake na sio malengo ya vita ndani ya gaza.
Anajua kabisa kuwa vita ikiisha hatakuwa na namna nyingine ya kulinda madaraka yake.
Hii vita inaigharimu sana Israel kiuchumi na kidipromasia na ndio maana baadhi ya wanasiasa ndani ya Israel wanataka ifike mwisho.
Tena baadhi ya wanasiasa ndani ya Israel kwenyewe wanamlaumu Netanyau kuwa ndo chanzo cha kuichochea Hamas atekeleze shambulizi la October 7 kwa sababu ya sera zake dhidi ya wapalestina.
 
Unajua kwanini wameandika moderate? Kwa sababu hatoki kwenye vyama vyenye msimamo mkali vya kiyahudi kama cha Netanyau.
Chukueni muda kujielimisha siyo tu kuishi C&P ndo maana mnashikiwa akili
Unatetea nini!?.. maana una maelezo mengi ya peke yako yasiyoeleweka, CNN nao Wana c&p Kama unavyodai!?.. ukweli wa mambo ni gantz kaona wamefeli na raia wanaandama muda Sasa,wewe upo kimara unaona tofauti
 
Netanyahu maliza kabisa hao magaidi wa Hamas
Mtu akianza kukimbiwa na waziri wa vita wakati yupo vitani ni dhahiri ameshashindwa hivyo vita ,na tulisema kuhusu gants tangu mwanzo kwamba alisema netanyahu hana vision ya hii vita leo kamuachia kikombe chake akinywe mwenyewe
 
Hapo mnajidanganya, hakuna waziri mkuu wa Israel ambaye atakubali matakwa ya Hamas, hao akina Gantz wanatumia vita hii kisiasa, na kama nchi iko vitani hakuna uchaguzi mpaka vita iishe, Yizark Rabin alikuwa ameshaubali kiundwe taifa la Palestinians lakini tunajua kilichokuta. Hata Gantz amehusika sana kuua wapalestina kipindi akiwa ni mkuu wa majeshi ya Israel , waziri yoyote atakayekuja hawezi kuondoa jeshi la Israel Gaza na kubali masharti ya hamasi.
 
Wanakumbi


🚨🇮🇱GANTZ TO ANNOUNCE PARTY'S EXIT FROM ISRAELI GOVT

National Unity chairman Benny Gantz will hold a press conference today at 1:30 p.m. ET, after canceling a Saturday announcement of his party's exit from the government.

The delay was a tactical move following the rescue of four Israeli hostages from Gaza.

Last month, Gantz threatened to withdraw unless Netanyahu committed to an agreed vision for Gaza by June 8.

Though National Unity's 6 seats won't outright collapse Netanyahu's 64-seat majority, it represents a major blow after the PM's plea for continued unity was ignored by Gantz, who cited unresolved "challenges" requiring reevaluation.

Source: The Times of Israel
=======================

🚨🇮🇱GANTZ KUTANGAZA KUONDOKA KWA CHAMA KUTOKA SERIKALI YA ISRAELI

Mwenyekiti wa Umoja wa Kitaifa Benny Gantz atafanya mkutano na waandishi wa habari leo saa 1:30 asubuhi. ET, baada ya kughairi tangazo la Jumamosi la kujiondoa kwa chama chake kutoka kwa serikali.

Ucheleweshaji huo ulikuwa hatua ya kimkakati kufuatia kuokolewa kwa mateka wanne wa Israel kutoka Gaza.

Mwezi uliopita, Gantz alitishia kujiondoa isipokuwa Netanyahu ajitolee kwenye maono yaliyokubaliwa kwa Gaza ifikapo Juni 8.

Ingawa viti 6 vya Umoja wa Kitaifa havitaporomosha moja kwa moja wingi wa viti 64 vya Netanyahu, inawakilisha pigo kubwa baada ya ombi la Waziri Mkuu la kuendelea kwa umoja kupuuzwa na Gantz, ambaye alitaja “changamoto” ambazo hazijatatuliwa zinazohitaji kutathminiwa upya.

Chanzo: The Times of Israel


View: https://x.com/warmonitors/status/1799859260647710812?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ushauri wangu kwako Ritz na wengine msijivunie kwa Ben Gantz kujiuzulu, kwasababu msimamo wake ni kwamba Netanyahu ni goigoi kwenye kuwashughulikia HAMAS.
 
Back
Top Bottom