Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.

hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.

Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.

Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.

Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.

Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.

Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.

Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:


View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi
 
Kile kichapo cha juzi kilikuwa balaa, Hezbollah sio mchezo.

Lakini, hati ya mashtaka iliyotolewa na ICC kwa Netanyahu na Gallant pia ilichangia kuwalazimu Israel kuridhia kusitisha mapigano.

Hezbollah nimewapa heshima kwa kutowaacha ndugu zao Gaza vitani peke yao wakati ambao dunia nzima ilikaa pembeni kushuhudia mauaji ya halaiki!
Hassan Nasrallah aendelee kupumzika kwa amani.
 
Gdat2CNXkAArEi5.jpg
 
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.

hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.

Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.

Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.

Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.

Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.

Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.

Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:


View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi

Is this supposed to be a joke or what 🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
 
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.

hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.

Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.

Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.

Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.

Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.

Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.

Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:


View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi

Kile kichapo cha juzi kilikuwa balaa, Hezbollah sio mchezo.

Lakini, hati ya mashtaka iliyotolewa na ICC kwa Natanyahu na Gallant pia ilichangia kuwalazimu Israel kuridhia kusitisha mapigano.

Hezbollah nimewapa heshima kwa kutowaacha ndugu zao Gaza vitani peke yao wakati ambao dunia nzima ilikaa pembeni kushuhudia mauaji ya halaiki!
Hassan Nasrallah aendelee kupumzika kwa amani.
Nyiee njooni muda wa Katuni umeshaanza huku
 
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.

hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.

Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.

Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.

Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.

Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.

Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.

Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:


View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi

Muwe mnaangalia na wa kuwadanganya. Uongo huu wa kijinga ni tofauti na wanachosema al jazeera.

Screenshot_2024-11-28-11-25-59-692_com.android.chrome~2.jpg
 
Muwe mnaangalia na wa kuwadanganya. Uongo huu wa kijinga ni tofauti na wanachosema al jazeera.

View attachment 3164175
Mimi nashinda na kulala nikiangalia Al Jazeera achana na hiyo screenshot yako moja uliyoweka hapa.

Pressure imeongezeka baada ya kipigo cha juzi kutoka kwa Hezbollah na hati ya mashtaka kutoka ICC. Uwe unasikiliza na uchambuzi usiishie kusoma tu.

Hapo kabla Netanyahu alikataa kabisa kusitisha vita, afisa kutoka Marekani amekaa Beirut wiki nzima lakini hakufua dafu, Israel walikaza.
 
Mimi nashinda na kulala nikiangalia Al Jazeera achana na hiyo screenshot yako moja uliyoweka hapa.

Pressure imeongezeka baada ya kipigo cha juzi kutoka kwa Hezbollah na hati ya mashtaka kutoka ICC. Uwe unasikiliza na uchambuzi usiishie kusoma tu.

Hapo kabla Netanyahu alikataa kabisa kusitisha vita, afisa kutoka Marekani amekaa Beirut wiki nzima lakini hakufua dafu, Israel walikaza.
Hizi propaganda tulianza nazo kitambo sana. Na bado israel wameendelea kutuchapa tu na kuharibu miji yote . Al Jazeera wanaongea wakiwa wana wataalamu. Sisi huku toka mwanZo tunaaminishana kwa propaganda.

Screenshot_2024-11-28-11-25-59-692_com.android.chrome~2.jpg
 
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.

hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.

Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.

Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.

Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.

Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.

Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.

Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:


View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi

Kwa umri wako kuandika uzi wa kipuuzi kama huu ni sawa na kutembea kkoo huku umevaa chupi kichwani.
 
Back
Top Bottom