FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.
hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.
Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.
Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.
Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.
Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.
Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.
Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:
View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi
hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.
Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.
Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.
Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.
Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.
Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.
Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:
View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi