Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

Vibibi ushungi vya JF vina jifariji ***** wallah ajuza 1&2 kwenye moja na mbili pale hatariii 🔥
 
Hizi propaganda tulianza nazo kitambo sana. Na bado israel wameendelea kutuchapa tu na kuharibu miji yote . Al Jazeera wanaongea wakiwa wana wataalamu. Sisi huku toka mwanZo tunaaminishana kwa propaganda.

View attachment 3164178
Kwanini Usa aweke hio pressure? Ingekua Israel wanashinda Usa angeweka hio pressure?

Rudi nyuma tetesi ya Waziri na Netanyahu kutofautiana na hadi waziri kufukuzwa ni Waziri kumwambia ukweli Netanyahu kwamba wanaisha Lebanon wanapigwa kule. Imefika stage mpaka wanajeshi wa reserve wakawa wanaitwa sio siri.

Israel anapigana Frontline nyingi why Usa waweke pressure specific Kwa Hezbollah na sio Houth, Gaza, Syria na kwengineko?
 
Kwanini Usa aweke hio pressure? Ingekua Israel wanashinda Usa angeweka hio pressure?

Rudi nyuma tetesi ya Waziri na Netanyahu kutofautiana na hadi waziri kufukuzwa ni Waziri kumwambia ukweli Netanyahu kwamba wanaisha Lebanon wanapigwa kule. Imefika stage mpaka wanajeshi wa reserve wakawa wanaitwa sio siri.

Israel anapigana Frontline nyingi why Usa waweke pressure specific Kwa Hezbollah na sio Houth, Gaza, Syria na kwengineko?

Screenshot_2024-11-28-11-51-41-783_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-11-28-11-51-22-050_com.android.chrome.jpg
 
Heshima pekee kwa Hizbollah ni kukubali kufa kwa ajili ya watu wa Gaza na Palestina kwa ujumla.

Hizbollah wangeamua tu kutumia resource zao kula bata huku na kule duniani, lakini walijitoa kutumia rasirimali zao kwa ajili ya watu wa Gaza na Lebano mpaka hata kuuwawa Kwa kiongozi wao na makamanda wao kadhaa.
 
Kile kichapo cha juzi kilikuwa balaa, Hezbollah sio mchezo.

Lakini, hati ya mashtaka iliyotolewa na ICC kwa Natanyahu na Gallant pia ilichangia kuwalazimu Israel kuridhia kusitisha mapigano.

Hezbollah nimewapa heshima kwa kutowaacha ndugu zao Gaza vitani peke yao wakati ambao dunia nzima ilikaa pembeni kushuhudia mauaji ya halaiki!
Hassan Nasrallah aendelee kupumzika kwa amani.
Mnaoshabikia vita mnajiona kama mnajua sana kumbe ni upuuzi tu.yale magofu yaliyopo kule Lebanon na Hasa mnaona ni ufahari sana.acheni kushabikia Udini kwani madhara yake ni mabaya.kuweni makini na hayo mambo na acheni ushabiki wa kipuuzi
 
Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo
Tukubali ukweli ALLAH kachemka! Anashindwa hata kuwatetea wanawake na watoto! Mifano ni hii:

Women and children among victims of Israel’s attacks in Lebanon​

Death toll from Israeli attacks on Lebanon surpasses 3,000: Health Ministry​


Lebanon local official says 19 killed in Israeli strike on family's home​


Nearly 600 killed, including women and children, in Lebanon attacks.​


Lebanon’s Growing Civilian Death Toll Includes Children and Rescue Workers​



ALLAH,ALLAH,ALLAH UPO WAPI??????????
 
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.

hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.

Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.

Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.

Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.

Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.

Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.

Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:


View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi

Mazayuni wamechapika vibaya sana na Hizbullah.
Makamanda wote wa kizayuni wameuwawa hakuna aliyebaki hata mmoja.Hata waliobaki wanaishia kukataa kuwa viongozi wa kizayuni.
Allah awawie radhi makamanda wa kizayuni akina Nasrallah na wenziake waendelee kufurahia bikra zao huko Jannat
 
Back
Top Bottom